Recent content by Mwanamayu

  1. Mwanamayu

    JamiiForums Tanzania Kusema Kisesa ni kama mwanamke aliyesuka Nywele ni udhalilishaji wanawake Waziri Gwajima mchukulie hatua Mpina mwanamke aliyesuka ana shida gani?

    Angekuwa Rais mwanaume, angetumia mfano wa mwanaume. Hapo Rais atakuwa kaelewa vizuri kwa mfano huo wa mwanamke kusuka nywele kwani nae yawezekana anasuka nywele zake!!
  2. Mwanamayu

    JamiiForums Tanzania SPECIAL THREAD: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel na Iran na hatma yake kwenye siasa za dunia

    Chonde chonde AI aka akili mnemba/ akili bandia. Tunataka tuone uhalisia.
  3. Mwanamayu

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tazama Luhaga Mpina akiondoka Uwanjani, Meatu baada ya mkutano wa Rais Samia

    Ilikuwaje mpaka anaonekana kukatiza kwenye msafara, au ndio mambo yale ya kujilinda?!
  4. Mwanamayu

    JamiiForums Tanzania Makao Makuu Gani Haya? Dodoma Usiku ni Kama Kijiji!

    Hayo ndio madhara ya kulazimisha bila uwezo!!
  5. Mwanamayu

    JamiiForums Tanzania Bashite Makonda akiwa Mwenezi, Samia akamuona Anajitafutia Umaarufu, Kwa Gwajima pia akaona hivohivo, Kwa Luaga Mpina kasema anajitafutia Umaarufu!

    Mbona yeye mwenyewe anatafuta umaarufu. Mara sijui sponsorship elimu ya juu sayansi, mara sijui kijani bond, mara sijui msaada wa kisheria/ sheria, mara ndondo cup!!
  6. Mwanamayu

    JamiiForums Tanzania Mpina umeuponza, subiri UTEUZI wa kitaifa

    Saa100 kaumbuka. Halafu sasa kwa zile shangwe kwa Mpina ni dhahiri wapiga kura wanamkubali Mpina!
  7. Mwanamayu

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa CCM hataki kura za "MASHETANI"?!

    Rais wa nchi kweli anakuwa mgeni rasmi kwenye ujenzi wa kituo cha watoto kweli. Mimi naona kama hicho kituo ni kidogo. Labda niambiwe kitakuwa na uwezo wa kuchukua watoto wangapi?
  8. Mwanamayu

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa CCM hataki kura za "MASHETANI"?!

    Rais wa nchi kweli anakuwa mgeni rasmi kwenye ujenzi wa kituo cha watoto kweli. Mimi naona kama hicho kituo ni kidogo. Labda niambiwe kitakuwa na uwezo wa kuchukua watoto wangapi?
  9. Mwanamayu

    JamiiForums Tanzania Tumeachana lkn kila ninachokiweka kwenye status yangu whatsapp lazima anihoji.

    Endela kujibu hoja mpaka zimalizike!
  10. Mwanamayu

    JamiiForums Tanzania Mwana CCM na mkewe akitoka kwenye mkutano wa halmashauri kuu yao apata ajali na kufariki hapohapo eneo la mji wa Mitumba - Dodoma

    Hiyo caption kwenye picha inayoonesha gari ni 'dereva na mwanamke' wamefariki au ni "dereva na abiria" wamefariki?
  11. Mwanamayu

    JamiiForums Tanzania Wakati Wakifikiri wamemaliza kazi, ndiyo kwanza watu wapo kupanga ratiba ya kazi

    Kwa walichowafanyia Boniface na Agatha kama kinafanyika na kwa wabongo, je sio 'kiwanda cha ushoga' hicho?!
  12. Mwanamayu

    JamiiForums Tanzania Wakati Wakifikiri wamemaliza kazi, ndiyo kwanza watu wapo kupanga ratiba ya kazi

    Wahanga wanasema hawakutumia 'sexual organs' zao, bali ni 'objects.' Yawezekana hizo objects zina shape ya sexual organs za wanaume. Vitakuwa ni vifaa kwa ajili ya mateso ya kudhalilisha utu. Hivi matumizi ya non-sexual organs ni rape na sodomy?
  13. Mwanamayu

    JamiiForums Tanzania Njia inayoingia kwenye Kanisa la Gwajima imefungwa; Polisi wanazuia kupita

    Kazi nyingine ipi tena?
Back
Top Bottom