Angekuwa Rais mwanaume, angetumia mfano wa mwanaume. Hapo Rais atakuwa kaelewa vizuri kwa mfano huo wa mwanamke kusuka nywele kwani nae yawezekana anasuka nywele zake!!
Mbona yeye mwenyewe anatafuta umaarufu. Mara sijui sponsorship elimu ya juu sayansi, mara sijui kijani bond, mara sijui msaada wa kisheria/ sheria, mara ndondo cup!!
Rais wa nchi kweli anakuwa mgeni rasmi kwenye ujenzi wa kituo cha watoto kweli. Mimi naona kama hicho kituo ni kidogo. Labda niambiwe kitakuwa na uwezo wa kuchukua watoto wangapi?
Rais wa nchi kweli anakuwa mgeni rasmi kwenye ujenzi wa kituo cha watoto kweli. Mimi naona kama hicho kituo ni kidogo. Labda niambiwe kitakuwa na uwezo wa kuchukua watoto wangapi?
Wahanga wanasema hawakutumia 'sexual organs' zao, bali ni 'objects.' Yawezekana hizo objects zina shape ya sexual organs za wanaume. Vitakuwa ni vifaa kwa ajili ya mateso ya kudhalilisha utu. Hivi matumizi ya non-sexual organs ni rape na sodomy?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.