Anaandika Tundu AM Lissu, MB
Ndugu na marafiki zangu popote mlipo,
Wananchi wenzangu,
Salaam,
Leo ni tarehe 7 Septemba, 2019. Majira ya mchana wa siku kama ya leo miaka miwili iliyopita, nilitoka kwenye Ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mjini Dodoma, na kuelekea nyumbani...