Recent content by Mwanajamii

  1. Mwanajamii

    JamiiForums Tanzania MSOMAJI RAIA: USALAMA wa TAIFA (TISS) ndiyo "... kamati ya ufundi" YA siasa za CCM, tufanyeje?

    Chadema wanasema CCM ilishafutwa pengine ndio maana hakuweka
  2. Mwanajamii

    JamiiForums Tanzania MSOMAJI RAIA: USALAMA wa TAIFA (TISS) ndiyo "... kamati ya ufundi" YA siasa za CCM, tufanyeje?

    TISS wanapimwa kwa mabaya tu hawana mazuri. Kama Mwandishi anajua mabaya yao TISS basi na mazuri yao anayajua angeweka yote jamvini kisha kazi ya kuhukumu angetuachia wasomaji wake.
  3. Mwanajamii

    JamiiForums Tanzania Gazeti la MwanaHalisi lafungiwa kwa muda usiojulikana!

    Bora hata limefungiwa, linataka kulitumbukiza Taifa katika machafuko hili gazeti, mbona Magazeti mrngine hayafungiwi?
  4. Mwanajamii

    JamiiForums Tanzania Gazeti la MwanaHalisi lafungiwa kwa muda usiojulikana!

    walifungie maisha kwa muda usiojulikana hitoshi
  5. Mwanajamii

    JamiiForums Tanzania Mboma aamua kuifanya TANESCO uwanja wa vita...

    Hawezi lolote huyo, mafisadi wote wameshabainika TANESCO.
  6. Mwanajamii

    JamiiForums Tanzania TBC Habari saa mbili usiku Leo: Waalimu kote nchini wametii amri halali ya serikali!

    Saa mbili usiku wa lini leo au jana? Hebu toa uhakika wa jambo hili.
  7. Mwanajamii

    JamiiForums Tanzania Gazeti la Dira: Kashfa ya kuhongwa - Zitto, Ole Sendeka, Sarah Msafiri na Anne Kilango watajwa

    Lazima naye yumo. Si ulisikia hotuba yake ya msemaji wa kambi ya upinnzani, Wizara ya Nshati na madini.
  8. Mwanajamii

    JamiiForums Tanzania Gazeti la Dira: Kashfa ya kuhongwa - Zitto, Ole Sendeka, Sarah Msafiri na Anne Kilango watajwa

    Tunasubiri, MWANAHALISI litawataja maswahiba wake CDM waliokula mlungula.
  9. Mwanajamii

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

    Leo Pumba za Mapeeeema! ikishachomwa wewe ufaidikeje?
  10. Mwanajamii

    JamiiForums Tanzania Mgomo wa Walimu Tanzania: Ripoti toka Maeneo mbalimbali ya nchi

    Hizi siyo zama ambazo ulisoma wewe, Mwanafunzi wa chekechea anaweza kupembua Mchele na Pumba, waacheni wawaburuze Walimu wao mahakamani kwani nao wanayohaki hiyo.
  11. Mwanajamii

    JamiiForums Tanzania Dr. Slaa: Hakuna huruma kwa wabunge wala rushwa

    Hapo kwenye maandishi mekundu, naona kama SLAA amejikanyaga kanyaga vile. Kwa nini asitamke wazi kuwa watawafukuza uanachama? Anaogopa nini?
  12. Mwanajamii

    JamiiForums Tanzania Ni J. Heche leo 29/07/2012 alinguruma IRA!

    E Emwenyezi Mungu usikilize kilio cha huyu STK ONE, anayelilia Ukimwi na aupate kabla ya mwaka kuisha, na wote tuseme Amina.
  13. Mwanajamii

    JamiiForums Tanzania Kwanini KUTAJA ni ISSUE?

    Naanza mimi kuwataja: Waziri kivuli, Wizara ya Nishati Madini. Unaweza kuendeleza
  14. Mwanajamii

    JamiiForums Tanzania Toka Singida: Dr. Kitila Mkumbo apandishwa mahakamani rasmi...

    Kwa vile ni Dr. Ndo maana , laiti angekuwa Prof. angalau angejua la kufanya , haoni wenzake akina Baregu na Safari wanavyotumiwa na CDM lakini, wanakua wajanja? wajinga ndiyo waliwao , acha apamabane na kesi na mwishoye yatamshinda na atasema ukweli alivyojidanganya kwa CDM.
Back
Top Bottom