Wakuu miaka ya nyuma mikopo ilikuwaje daah maana mwaka huu wamebana madogo kibao wameomba mkopo lkn wanapigwa tarehe tuu na hata ukupata huchezi mbali ni 50% tuu
Habari Wakuu
Aisee Mimi nimekuwa nikifanya biashara Instagram kwa kutumia hizi Instagram sponsored ad na kuzifanyia malipo lkn kutokana na changamoto za maisha nmeyumba nakuja kucheki nina deni kama la 300 dollar na mfukoni sina kitu [emoji25]
Hivyo nimeona huko Instagram watu wanasema uwalipe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.