Waafrika sijui munashida gani hivi kama hutaki mabo mabaya kwenye nchi yako si utende haki shida nini hivi kuruhusu watu wajichagulie kiongozi wanayemtaka inawauma nini ,hii nchi ni ya wote haiwezi kumilikiwa na wakina fulani tu.
Mfano wako ni wa hovyo sana, hivi kama unazo akili timamu unaweza kuthaminisha uhai na mali, utambue kuwa mali iliyoharibiwa serikali ndiyo inapaswa kufidia kwa kuwa katiba inaeleza kwamba moja ya jukumu lake la msingi ni kulinda mwananchi sasa.
Moja ya mbinu ya kutatua migogoro ni kukili kosa kwamba mulikataa kusikiliza wananchi kana kwamba nchi hii inamilikiwa na ccm. Alafu muliiba uchaguzi na kujipachika madaraka. na mulikataa watu kuandamana kwa amani, na walipoandamana mukaua watu wengi watoto ,wamama, wazee,vjjana wote hawakuwa na...
Mimi nikiwa shabiki wa simba kikweli siridhiki na mbinu za FADLU, SIMBA imekuwa timu ambayo haichezi kama timu ambayo tumeizoea na tunafurahia mpira. Watu wanampa sana sifa huyu kocha lakini uwezo wake umeishia hapa hawezi tena kuibadili timu hii naomba atafutwe kocha mwenye uwezo wa mbinu...
Hujui wewe kwani polisi wakifika na wakasema wanakagua vituo na wako doria wakaingia kwenye kituo utawazuia na huku wameweka kura feki kwenye mavazi yao utazuia wewe wasiingie.
Watu wajinga h
W
WALIZUIWA NA NANI? SHERIA HAISEMI KAMA HUYO MSAJILI ALIVYOSEMA KILICHOPO NI KUWA WATU WANAJARIBU KILA NAMNA KAMA SERIKALI ITAONA HAIBU IFANYE MAREKEBISHO LAKINI HAKUNA SHERIA ILIYOWAZUIA ILA KWA KUWA WANAOSIMAMIA IZO SHERIA NI SEHEMU YA SYSTEM NA INAWEZEKANA WATU WA NDANI YA...
Habari wana jamvi mimi namshukuru muumba wa mbingu na ardhi, mimi ni mfanyakazi wa idara fulani nina miaka zaidi ya kumi kazini, kuna ndugu yangu mmoja mzanzibar alinifundisha kamari [betting] mwaka 2015.
Tokea nimeanza kubeti kuna mambo mengi nimejifunza kutokana na michezo hii, mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.