Mkuu Chai na Donuts/Vitumbua si balanced diet.
Ushauri wangu jaribu kutafuta mtaalamu wa Afya ili akusaidie kujua ule nini kulingana na Umri wako, Uzito, urefu, Kazi unazozifanya hata Mazoezi unayoyafanya.
Sawa mkuu, Umejibu vyema!!
Je, Kulikua na maana gani Mungu kuwaangamiza watu wa Sodoma na Gomola bali akashindwa kuangamiza Mawazo kuhusiana na tabia hiyo?
Halafu anatabiri kwamba haya mambo yatakuja kutokea tena ikiwa anajua fika amewaumbia watu fikra hizo ovu?
Sio inapatana na akili kwamba...
Mkuu nadhani jamaa anafikiri kwamba mtu maarufu lazima azikwe kwa Mbwembwe nyingi kulingana na umaarufu wake huku anashindwa kutambua kwamba familia husika ndiyo hua inaamua mazishi yafanyike kwa utaratibu upi na watu gani wahudhurie.
Wengine hawapendi Mbwembwe na unafiki toka kwa watu ambao...
Wote tunatambua kwamba tabia kama ubinafsi, tamaa ya fedha, na majivuno zimekuwa sehemu ya asili ya binadamu tangu zamani na pia tabia hizi zimeonekana sehemu nyingi katika masimulizi ya biblia.
Je, tunapaswa kuzingatia unabii wa Biblia kuhusiana na ubinafsi kama ni sehemu ya dalili ya 'siku za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.