Recent content by mwanachi huru

  1. mwanachi huru

    Hakuna wa kumtetea Assad, si serikalini si upinzani...

    Watu wanamjadili Asad personal na Siyo CAG kama wazifa/mamlaka ambavyo ni
  2. mwanachi huru

    Ushamba unapotaka kuleta maafa! Kisa cha msambaa wa Tanga mjini

    huyo ni mtani wangu mluguru alikuja jana Tanga:D:D:D:D likizo
  3. mwanachi huru

    SUA selection

    kozi gani mkuu ?
  4. mwanachi huru

    Msaada tafadhari : Kuhusu shahada ya " rural development " SUA

    wasalam kama kichwa kinavyojieleza naomba msaada kujua field kozi hii kujiajiri au kuajiriwa ( hasa kwa wahitimu na wenye uelewa wa kozi hii). pia nataka kujua kama ina tofauti na bachelor in regional development plan management ya chuo cha mipango nahitaji msaada wenu ili niweze kuchagua...
  5. mwanachi huru

    Mwaka mmoja wa JPM: Maisha ya Mtanzania yamestawi

    mitiani wanaandika kwa chaki ubaoni kutokana na kukosa pesa ya kuchapisha test kwenye baadhi ya shule. HATARI SANA
  6. mwanachi huru

    Mwaka mmoja wa JPM: Maisha ya Mtanzania yamestawi

    Mungu anakuona jamani!!
  7. mwanachi huru

    Mwaka mmoja wa JPM: Maisha ya Mtanzania yamestawi

    au siyo muzee. Mungu anakuona
  8. mwanachi huru

    Maamuzi ya Mkuu wa Mkoa wa Songwe yanaweza kuleta madhara kwa mkoa huo kama hatua hazitachukuliw

    Katika hali ya kusikitisha mkuu wa mkoa wa songwe kwa kushirikiana na wa wiliya ya mbozi wamepiga marufuku wananchi wa maeneo mengi ya wiliya ya mbozi kwa madai kuwa ni vyanzo vya maji wakati siyo kweli. Hali hii inaweza kusabaisha upungufu wa chakula , kwani wananchi wengi wanalima mara mbili...
  9. mwanachi huru

    Msimamizi wa Uchaguzi Bunda akiri kukosea kuandika idadi ya wapiga kura nafasi ya Ubunge

    msimamizi: kura 28000+ za bulaya ni halali...
  10. mwanachi huru

    Msimamizi wa Uchaguzi Bunda akiri kukosea kuandika idadi ya wapiga kura nafasi ya Ubunge

    h ayo maswali. utadhani TL amekuwa programmed
Back
Top Bottom