wasalam
kama kichwa kinavyojieleza naomba msaada kujua field kozi hii kujiajiri au kuajiriwa ( hasa kwa wahitimu na wenye uelewa wa kozi hii).
pia nataka kujua kama ina tofauti na bachelor in regional development plan management ya chuo cha mipango
nahitaji msaada wenu ili niweze kuchagua...
Katika hali ya kusikitisha mkuu wa mkoa wa songwe kwa kushirikiana na wa wiliya ya mbozi wamepiga marufuku wananchi wa maeneo mengi ya wiliya ya mbozi kwa madai kuwa ni vyanzo vya maji wakati siyo kweli.
Hali hii inaweza kusabaisha upungufu wa chakula , kwani wananchi wengi wanalima mara mbili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.