Recent content by Mwana kondoo 2025

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu asikae gerezani bure

    MFUKO WA HAKI NA DEMOKRASIA LEO NA KESHO
  2. M

    JamiiForums Tanzania I wonder if you actually think they will hesitate to do it ? Tundu Lissu atanyongwa !

    Mahakama pia inatakiwa itende haki. Alishasema haombi huruma ya mahakama ila HAKI.
  3. M

    JamiiForums Tanzania MTIHANI; BAADHI KIPUNGUNI A HAWAJALIPWA FIDIA YA ARDHI. UCHAGUZI HUU HAPA

    Hili la Kipunguni kutolipwa fidia ya ardhi zaidi ya miaka 20 linafikirisha sana. Wananchi wanalipwa kwa awamu na kimakundi kidogo kidogo sana.Kulikoni! Uchaguzi ungekuwa wa huru na haki CCM ingepata shida sana Kipunguni. Hili serikali limalizeni.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Lema, Lissu na Heche waliamua kumtoa kiongozi mnafiki ambaye aliwauza wenzake kwa miaka mingi

    Mbowe hana kosa kugombea na kushindwa na Lissu hana kosa kugombea na kushinda hiyo ndiyo demokrasia aliyoionyesha Mbowe inafuta madhaifu mengine yote.
  5. M

    JamiiForums Tanzania JWTZ ni kwamba mnafanya maigizo ama?

    Ninaafiki jeshi letu lifanye paradigm shift kwa kulinda mipaka ambayo dhana pana ni pamoja na raslimali za nchi dhidi ya maadui wa ndani na nje ya nchi. Mipaka ni uchumi,watu,ardhi na teknolojia ndani, vilindwe kwa wivu mkubwa.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Huyu nae ni miongoni mwa kundi la wanamtandao hatari

    mtasema wote wakristo
  7. M

    JamiiForums Tanzania CCM inaweza kuendelea kutawala?

    C CM iwe makini kwenye kero za wananchi, kuteka na mauaji, raslimali za nchi,haki na wajibikaji na uongozi thabiti wenye kufuata katiba na sheria za nchi a la Mkapa hapo wataendelea kutawala, for sure. Ni hayo tu yanayowaangusha.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kukosekana kwa bunifu za miradi mikubwa katika kampeni za CCM kunapunguza mvuto!

    Mwanza international Airport na Rostam kwishney hakuna kumalizika
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kujua nguvu ya CHADEMA fuatilia Kampeni za CCM

    CDM wamelinda heshima yao kwa kutoshiriki uchaguzi. waimarishe chama tu sasa
  10. M

    JamiiForums Tanzania Huenda CCM ndio Chama Cha siasa kinachopendwa zaidi Duniani kwa sasa

    ni kinyume chake. ubabe wa kidola ndiyo nguvu kuu
  11. M

    JamiiForums Tanzania Huyu mwamba alilia sana kwenye msiba wa Raisi Magufuli

    Mke wa JPM alisema madaraka yatawatoa roho. Radio Kwizera ya Ngara.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kundi la 'Wana Mtandao' tunalikomeshaje?

    Ponjoro ya Gwajima na Ma Gabachori ndiyo financiers wa mtandao. Tuemuke
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Tanzania haiwezekani kutokea machafuko wala mapinduzi ya kijeshi

    Mapinduzi au machafuko ni kitu kibaya sana ila mafisadi na pengo aliye nacho na asiyekuwa nacho inadhoofisha umoja wetu. Hali itakuja kuwa mbaya. Tunahitaji uongozi wa kukemea.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Jakaya Kikwete akizungumzia mtandao

    Nyerer alishtukia
Back
Top Bottom