Recent content by mwana arsenal

  1. M

    Ukweli kuhusu pesa za kujikimu za walimu

    Da Hii Kali Sasa Hata Sisi Tumeripoti Kyela Hakuna Hela Za kujikimu Na Kwa Taarifa Za Chini Chini Kutoka Kwa Mmoja Wa Wakuu Wa Shule Kubwa Kasema Tujiandae Kisaikolojia, Kwan Hata Mshahara Inawezekana Tukaanza Kupata Mwezi Wa 6 Au 7 Maana Serikali Haina Hela
  2. M

    Kuuliza Multiple Choice Question katika University Exams: Tunapima nini?

    jamani mcq ni sahihi kabisa kikubwa mtihani lazima uzingatie validity na reability n.k
  3. M

    Picha:kinana ni fagio la chuma,azungumza na wanafunzi elimu ya juu,avuna wanachama wapya

    hakuna chuo kikuu njombe mtoa post hakufikiria amewatumia wanafunzi wa o-level na wenye div. 5 eti elimu ya juu tunataka aje vyuo vikuu aone kama ccm ipo imara.
  4. M

    Maandamano yaliyotangazwa kupinga maamuzi ya Kamati Kuu ya Chadema ....

    cdm ipo imara nashukuru mungu kanipa uwezo kupambanua mambo ni si kudanganywa na siasa uchuro za ccm
  5. M

    Wanachama wa CHADEMA udom wamerudisha kadi cha chama

    hata warudishe kadi za cdm, cdmitabaki imara
  6. M

    Wanachama wa CHADEMA udom wamerudisha kadi cha chama

    hata warudishe kadi za cdm, cdmitabaki imara
  7. M

    Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!

    da i have learn some thing
  8. M

    Kitabia, huyu Sugu hatuwakilishi watu wa Mbeya , anatutia aibu!!

    ndio maana unajiita katikati, sugu jembe na sio hao unaowataja wanatetea chama badala ya raia
  9. M

    Sugu anatafutwa na Polisi Dodoma ...Amefunguliwa faili na Askari Polisi

    polisi wanaonyesha udhaifu mkubwa sana
  10. M

    Mbowe atolewa nje ya bunge

    tunategemea umoja wa vyama pinzani kuiokoa nchi yetu.
Back
Top Bottom