Recent content by Mwana ali

  1. M

    Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

    Habari zenu wapendwa. Mimi nna ujauzito wa miezi mitano ila juzi nilihisi maumivu wakati wa tendo la ndoa na jana wakati najisafi niliona mabadiliko ya yale majimaji ya uke yamekua na vichembechembe kama mfano wa chicha nikajua ni fangas wananianza. Sasa naombeni ushauri wenu nitumie dawa...
  2. M

    Kubanwa mkojo kila wakati

    Habari zenu wapenwa mi nna ujauzito wa miezi minne tatizo nilonalo ni kwamba naenda haja ndogo mara kwa mara hasa usiku na nikiuhisi tu mkojo nakua navimba chini ya kitovu na kuuma kidogo ila nikishakojoa tu nakua wa kawaida, je hili ni tatizo au kawaida kwa wajawazito?
  3. M

    Kanisa lanusurika kuteketea kwa moto Zanzibar asubuhi ya leo...

    Tahadhari na kauli yako uislam si dini ngumu na kuchoma moto kanisa haitokani na uislam
  4. M

    Kanisa lanusurika kuteketea kwa moto Zanzibar asubuhi ya leo...

    Ikiwa mtu anaweza kumuua mama yake mzazi atashindwa kiongozi?
  5. M

    Wazinzi hili ni somo tosha kwenu, mweeee!

    Utaruhusiwa kufanya upendavyo ila wewe mwenyewe hutaweza kufanya chochote zaid ya kuikhofia nafsi yako kwa fadhaha ya siku hiyo
  6. M

    Wazinzi hili ni somo tosha kwenu, mweeee!

    kila mmoja na dini yake na kama yeye ametoa katka injil halkadhalika nami nimetoa kwa hadithi za mtume wetu nae hasemi kwamatamanio yake ila hushushiwa wahyi, na mola wetu hasemi uongo wala atengui ahadi zake
  7. M

    Wazinzi hili ni somo tosha kwenu, mweeee!

    Huu si upuuzi na nafsi zitajuta siku hiyo
  8. M

    Wazinzi hili ni somo tosha kwenu, mweeee!

    Hiyo ni kweli wala mungu hasemi uongo na hashindwi na kitu, na hizo tupu zitakua zimewaganda wakat wa kutoka makaburini kuelekea uwanja wa hesabu, na watapoingizwa motoni humo ndani ya moto mzinifu mwanamme atatundikwa kwa uume wake na mwanamke atatiwa ngoeko wawe wananing'inia katka moto...
  9. M

    Madhara

    Hivi kuna madhara yoyote yanayotokana na kula mchele mbichi?
  10. M

    Msaada

    Nini dawa ya tumbo la hedhi?
  11. M

    Ninampenda sana, lakini hajawahi kuniambia "nina hamu na wewe"

    Ikiwa bado hamjafunga ndoa mvumilie huenda anafata sheria za dini yake
  12. M

    naomba kuuliza

    Tumpeni mwenzetu ushaur wa maana sio kufanya mzaha
  13. M

    Mapenzi ni nini hasa?

    Habar zenu wadada na wakaka, naomba mnijuze nifanye nini niweze kudum na mpenz na hatimae kufikia ndoa? mana mwenzenu najihis kama sina bahati nikianza mausiano haifiki hata miezi sita yanakufa, au sababu ni mimi kujiwekea msimamo wa kutosex na yoyote? naomba ushaur wenu wana jf, MCHANA MWEMA
  14. M

    nijuzeni

    Jamani hivi mba tiba yake ni nini?
Back
Top Bottom