Recent content by mwamz the alpha

  1. M

    Tumechoka mnavyotusakama na kutudharau eti "watoto wa BRN"

    Ha ha ha ha mnanifurahisha sana... Yaani mkitaka tuzungumzie swala la uandishi humu ndani... Basi wote humu hakuna atakae baki..kwaio wote humu ni vilaza wa BRN kwamaana hyo.
  2. M

    Tumechoka mnavyotusakama na kutudharau eti "watoto wa BRN"

    Kama sisi ni vilaza bac hata wadogo zako na watoto wako ndo watakuja kua vilaza wa kutupwa..and someday we will prove that we are not what u col us
  3. M

    Tumechoka mnavyotusakama na kutudharau eti "watoto wa BRN"

    Umeshindwa kuthibitisha upumbavu wangu... Ngoja nkuoneshe upumbavu wako..toa hoja ya msingi sio kuandka upumbavu unao uandika
  4. M

    Tumechoka mnavyotusakama na kutudharau eti "watoto wa BRN"

    tumefaulu kwa kusoma na kujituma ndio maana wapo walio feli.Na si sawa kutudharau to this extent..
  5. M

    Tumechoka mnavyotusakama na kutudharau eti "watoto wa BRN"

    BRN ingewahi kuanza au nyie mngechelewa kuanza shule..wengi tungekua chin ya BRN..Na je pia mngestahili kuitwa vilaza?
  6. M

    Tumechoka mnavyotusakama na kutudharau eti "watoto wa BRN"

    ndio nyie badala ya kusikiliza na kutoa hoja za msingi mnakaa kujadili michapio.nonsence
  7. M

    Tumechoka mnavyotusakama na kutudharau eti "watoto wa BRN"

    Pia na ww hiyo sio hoja ya msingi hizi ni textng msgs sio lazima niandike kama essay. Na ww pia toa hoja za kiutu uzima
  8. M

    Tumechoka mnavyotusakama na kutudharau eti "watoto wa BRN"

    Kua kama Mtu mzima afu toa hoja ya msingi swala la typng error ni swala la kawaida ndomana ikaitwa error sio hoja ya kuhusisha na BRN
  9. M

    Tumechoka mnavyotusakama na kutudharau eti "watoto wa BRN"

    BRN ni mpango wa serikali ulioanzishwa kuleta matokeo makubwa katika secta mbalimbali hapa nchini ikiwemo pia ya elimu.Nikizungumzia kuhusu secta ya elimu pengine inawezekana ikawa imeambana na baadhi ya madhara mfano moja wapo ni competition katika vyuo.Lakin sasa isiwe sababu ya kutudharau na...
  10. M

    transfer transfer transfer !!!!

    Inamaana ukilipa ada na mkopo ukishatoka unarudishiwa ada yako?? Naomba msaada
  11. M

    St. Joseph Collage Of Engineering

    O-lvl private, A-lvl gvmnt, nmechaguliwa electroncs and communications engineering vipi apo mkopo ntapata kama asilimia ngap hv
  12. M

    TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

    Me nlikua 3rd round sahv wameniandikia am provisionally selected kwny course moja wapo nlizo chagua
  13. M

    TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

    Pia na mm page ya tcu kwangu haifunguki
  14. M

    St. Joseph Collage Of Engineering

    Wadau electronics and communications engineering ikoje apo na ajira zake vp
  15. M

    electronics and communications engineering st. joseph

    Naombeni mnisaidie kwa wala wanaosoma course hii ajira zake inakuaje hapa tz
Back
Top Bottom