Uchaguzi wa 2015 Wananchi hawahawa kwa hiyari yao walikua wanaamka saa 10 alfajili waki wahi foleni!
Tunaomba ufafanuzi wa kuwaita watendaji
Nchi nzima ulikua na maanagani she?
[emoji17]....... Pengine tukaelewa.
............ WaTanzaniasiowajinga.
Wana hofu ya ujio wa Lissu... Uminywaji Haki ni mkubwa!
Wamelundika Watu ndani pasi utaratibu wa kisheria kuzingatiwa
Ni utawala wa Kibabe, kukoma,jeuri.
Napatashida kukuelewa kijana!
Awamu hii ya 5 chini ya Rais Magufuli inatuhuma si haba kijana..
: ina Ufisadi mkubwa wa tir 1.5
: kununua Wapizanzani kwa kodi zetu
: uwanja wa chato
: vitambulisho vy Nida
: vitambulisho vy wajasiliamali
: na
: na
: na ndio maana nikasema
Unaji kanganya Sana.
Siasa ndio mfumo unaotakiwa tuupitie kuelekea huko unakotamani tufike!
Vinginevyo utwambie tutumie Mfumo gani wa Kujitawala
Kuna zigzag nyingi kwenye hoja zako hasa mwisho
Chaajabu hushtuki!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.