Pole Kwa baadhi ya michango ya wadau,,mm n single father nna watoto wanne,,wawili mama mmoja na hao wengine mama tofauti,,mnene kias chake mwajiriwa serikalin,elimu kidato Cha nne,,mnyakyusa a nafanya kazi mbeya!!
Nimeishajenga tayar ila nimepangisha mm nakaa kota but nna Miaka 30 kamili ...