Recent content by mwamboneke

  1. M

    Rais Mstaafu wa Africa kusini Jacob Zuma atua Tanzania kimyakimya

    Nimepata mshtuko baada ya kuona kiongozi wa zamani wa South Africa ameingia nchini. Ni nini kimemsibu? Au naye ameshabaguliwa?
  2. M

    Je Lissu kuingia leo Bongo?

    Mbona kimya jamani au amepotelea angani!
  3. M

    Ya Afrika Kusini yasijirudie tena katika nchi nyingine

    Hali inayoendelea wakati huu sio ya kufurahisha hata kidogo na kuungwa mkono au kuamua kulipiza kisasi kwa waafrika wenzetu ambao wamesahau jinsi ambavyo tuliwajali kipindi cha kujikomboa dhidi ya kaburu
Back
Top Bottom