Recent content by MWAMBELA

  1. M

    Kwanini upanuzi na sio ujenzi wa flyovers?!

    Mkuu lakini si ni afadhari project ichue muda mrefu lakini ikikamilika inakuwa ni solution ya kudumu?
  2. M

    Kwanini upanuzi na sio ujenzi wa flyovers?!

    Wadau nimeona kwenye taarifa ya habari, hii ishu ya kupanua barabara ya mwenge to morroco is getting serious, sasa nnachojiuliza kwa upana wa barabara uliopo sasa hivi tunahitaji tena kufanya upanuzi au si ingekuwa ni vizuri serikali ingewekeza kujenga flyovers mbili moja mwenge na ingine...
  3. M

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Vodacom Tanzania; kwanini mmeondoa vifurushi vya internet vya unlimited?! Huu uamuzi wenu umeni-disappoint sana kwa kweli...
  4. M

    Naomba ushauri kuhusu dawa ya kutokomeza N'ge

    Asante Sana ndugu kwa ushauri, Ntafanya hivyo...
  5. M

    Naomba ushauri kuhusu dawa ya kutokomeza N'ge

    Habari zenu wana JF, mimi ni kijana wa kiume, kwenye nyumba nnayoishi sasa ambayo nimehamia mwezi wa nane mwaka huu mara kwa mara nimekuwa nawaona N'ge na mpaka sasa nimeshawaua wanne wakubwa na sio vitoto. Sasa naomba ushauri hivi inawezekana wanatokea wapi na dawa ya kuwatokomeza ni ipi ili...
  6. M

    Natafuta Mpenzi wa kike kwa lengo la kuja kuwa mume na mke...

    Habari zenu wana Love Connect, Before niliwahi kuituma hii reguest kwenye page ya MMU hapa JF lakin sikufanikiwa, Ni hivi... Mimi ni kijana wa kiume nna umri wa miaka 32,naishi hapa Dar na nnafanya kazi kwenye NGO, nilishawahi kuwa na girlfriend siku za nyuma but unfortunately it didn't work...
  7. M

    Natafuta mpenzi wa kike kwa lengo la kuja kuwa mume na mke...

    Usijali J.lee kila mtu na mtu wake....
  8. M

    Natafuta mpenzi wa kike kwa lengo la kuja kuwa mume na mke...

    Habari zenu wana MMU, Mimi ni kijana wa kiume nna umri wa miaka 32,naishi hapa Dar na nnafanya kazi kwenye NGO, nilishawahi kuwa na girlfriend siku za nyuma but unfortunately it didn't work out tukaachana and since then nimekuwa napata challenge namna ya kupata msichana ambaye yuko matured na...
  9. M

    Msaada, Nani anaifahamu NGO inaitwa Health Gear

    Nili google hamna kitu,
  10. M

    Msaada, Nani anaifahamu NGO inaitwa Health Gear

    Naomba kwa anayewajua Health Gear anifahamishe wapo wapi na wanafanya nini maana wametoa tangazo la kazi wakihitaji PROJECT OFFICERS bila kueleza kwa undani.- Natanguliza shukurani
  11. M

    Mjadala: Kero za michango ya Sherehe katika jamii ya Watanzania

    Duh! kweli inaboa, yaani mimi binafsi huwa napenda hii culture ibadilike, lichukuliwe kuwa ni jambo la kifamilia na watu wafanye kadri ya uwezo wao hii ingesaidia pia ku-motivate watu wa wafunge ndoa.
Back
Top Bottom