Shida yako ni kashfa tu Kwa Muhammad nabii sio haya uwanja wako maana mwendawazimu akibeba nguo zako wakati unaoga na kukimbia nazo ukimkimbiza wote munaonekana weu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiweza kunijibu swali langu basi na lako litakua kama kumsukuma mlevi je unaamini kuwa uwepo wa mwanadamu na ulimwengu umesababibishwa na mungu?
Sent using Jamii Forums mobile app
We kilaza kweli nani kakuambia kuwa wamisri ni watu weupe dollar la kale la misri ni weusi hila waliathiriwa na uvamizi wa mala kwa mala toka mataifa ya ng'ambo ndio wakabadilika rangi
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.