Habari Wana JF !
Ni hakika Kwamba ni mambo (Siri) mengi yamefichwa Kwa mamillion ya watu Duniani kote , lakini ukijaribu kuwaambia watu Ukweli HAWAKUELEWI .
Ni hivi Ulimwengu huu wa sasa ulijengwa Kwa mifumo dhabiti na ma - elites wa Dunia hii tangu zama za zamani sana. Hivyo namna ambavyo...
Licha ya kuwa hakuweza kuniajili kutokana na sera zake . Lakini pia hakuishia hapo , akaifungia kampuni iliyoniajiri niweze kuyamudu maisha . HATA HIVYO BADO JPM ALIKUWA MWAMBA WA AFRICA .
Lakini Bado Siri hii haijajulikana Kwa wengi ila kiuhalisia DINI ulikuwa ni mchongo tu Ma - elites wa Dunia hii . Mabwana wapo wanaplan mfumo wa maisha Kwa vizazi vingine vijavyo . Mfumo wa Dini ulipangwa makusudi Kwa kizazi hiki na vizazi kadhaa nyuma . YAANI SIJUI KWENDA MBINGUNI , MARA...
Behind your president there is another president who controls your president secretly . The elites of this world are preparing the life style of the generation to come . Even your life style in your generation was planned many generations ago . Every thing in our generation was planned as it is...
Umewahi kugombana na Mtu akiwa ameshika mpini wa panga na wewe ukashika makali ? Ndivyo Dunia ilivyo , there are things you can't change at all in this life .
Siyo kweli hata kidogo . Nyuma ya serikali yako unayoiona wewe kuwa Ina nguvu Kuna serikali isiyoonekana Kwa macho yako yenye nguvu zaidi . Marais wengi hawakubaliani na huu uovu lakini hawana namna Kwa sababu na wenyewe wanaongozwa na usiowajua wewe . BAADA YA KUSEMA HIVYO , AFRIKA HAINA RAIS...
Vimelea vya ushoga vimepandikizwa katika vitu vingi ... No one is safe . Pia ni amri imetolewa Kwa Wakuu wa nchi zote Duniani kutopinga hizi ndoa labda uwe na misimamo binafsi kama Putin , JPM , Mugabe n.k lakini Kwa viongozi wetu Africa walio wengi Wana uchu wa madaraka . Nafasi zao ni Bora...
How the Old Boss became so powerful compared to other bosses before and after ? The company shall be possessed by Whom one after the death of Old Boss?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.