Leo ndio nimegundua watanzania baadhi kama Hawa kichwani ni bure kabisa.Mtu umri huu hajui kuwa kanzu,kofia ya kiislam yoyote na kubazi zozote ni mavazi halali yanayotambuliwa na serikali kuingia nayo ikulu,bungeni na ofisi yoyote ya serikali.No mavazi official.
Hao wageni wamevaa mavazi ya...
Nimeona nilete kwenu huu utabiri niliouna kutokana na usajili nganga ngingi aloufanya Simba kupitia usimamizi mahiri wa boss Mo.
Safari hii hadi Mohamed Husein"Shabalala" ameletewa chalenge.
Yanga baibai kuchukua vikombe.Safari hii mtakiona cha kukiona. Mtajuta kuwafahamu Simba.
Kwa umri wwnu hakimu anawatimua.Mngekuwa under 18 hapo kweli ila nyinyi na ndevu zenu hamna hata aibu.
Tafuta chako kwa baba urithi na vitu vya bure ni siku akifa tu sio akiwa hai.
Mleta mada hajitambui huyu.Soon biashara inaenda kufa.Serikali yenyewe inakopeshwa na kukopesha mpaka madeni yanasamehewa.Sembuse wewe na kiduka chako cha uchochoro.
Kwendraa usituchoshe na upuuzi wako!
Miaka hii mmzidisha chuki za waziwazi.Kule mama anaipeperusha Bendera vizuri,wapenda ofa za wale wanaowagaia keki ya taifa peke yenu hamna.
Endeleeni kuumia ili sisi tufurahi[emoji2211][emoji126]
Mungu haleti mvua kwa ajili yao wakristo bali hataki kufuru yao katika siku ya krismasi na pasaka,ndio huwa anazuia kwa kuleta mvua ili wasifurahi vizuri kwa nafasi.
Waislam sikukuu zao zote hazina mvua mungu ameridhia washerehekee bila kikwazo baada ya kutekeleza agizo lake la kufunga.
Akili ya...
Vipofu waache wajadili wenyewe usiwaingilie.Mleta uzi huna ulijualo katika hii dini bali umetuwasilishia uzwazwa ili upate comment zetu.
Kwa taarifa yako hii sio dini ya kiandikiana barua za waraka kwa petro au Fulani fulani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukisikia Hali Mbaya Tanzania ya kiusalama ujue ni DAR.Takwimu ikionyesha Dar Hali tete,Jua kulikobaki ndio tete zaidi.
DAR ndio Kila kitu na wanaofanya uhamisho wanatokea mikoani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.