The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 37,863
- 82,491
Wacha uzushi, hakuna shule inayofundisha kuanzia saa 12 asbh mpk saa 3usiku hakuna iyo shule hata Ulaya hakuna.Wewe utakuwa na watoto vilaza na wasiopenda shule ndio maana unawachongea watoto wanaopenda shule ili wawe vilaza kama wanao. Mimi mwanangu yupo shule binafsi na wanasoma hadi saa tatu usiku, wewe unalalamikia saa 12 jioni? PUMBAVU!!!!