Recent content by Mwalimu Makini

  1. Mwalimu Makini

    Mkutano mkubwa wa UKAWA Moshi Mjini katika Picha.

    Pamoja na mvua kunyesha bado wananchi waling'ang'ania kumsikiliza Dr. Slaa.
  2. Mwalimu Makini

    Mkutano mkubwa wa UKAWA Moshi Mjini katika Picha.

    Mjepo hawa ulioona katika mkutano wa UKAWA wamekuja wenyewe kutoka majumbani kwao. Hawajabebwa na malori wala coaster. Sisi tunaoleta habari tunafanya kwa raha zetu, hatulipwi buku 7. Hatutukani wala kuponda kwa sababu hatujajifunza hilo wala hatulipwi kwa kuponda na kutukana wenye akili...
  3. Mwalimu Makini

    Mkutano mkubwa wa UKAWA Moshi Mjini katika Picha.

    Dr. Slaa akihutubia leo mjini Moshi Mhe Wandwi akihutubia
  4. Mwalimu Makini

    Mkutano mkubwa wa UKAWA Moshi Mjini katika Picha.

    Wakuu heshima,kwenu. Ninawaletea picha za mkutano wa UKAWA kama unavyoendelea mjini Moshi leo kwenye viwanja vya Railway. Kwa hakika mkutano umehudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Moshi na wilaya za jirani na mji huu. Jioneeni picha wenyewe. Huu ni moto wa kuotea mbali.
  5. Mwalimu Makini

    Madiba gaidi aliyeuka kuwa mtetea haki za wanyonge africa ya kusini na africa nzima

    Mkuu Sandefs si uhariri vizuri title yako! "aliyeuka" maana yake nini? Je ulitaka kusema "aliyegeuka"?
  6. Mwalimu Makini

    Baadhi ya wabunge wa CUF na NCCR wagoma kupewa uwaziri kivuli na CHADEMA

    Ifweero! Ulivyoanza hadithi yako sikuona kwamba ni umbea wa kawaida wa wachumia tumbo pale Lumumba. Nilifikiri kweli. Lakini baada ya kufuatilia unachosema namna unavyosema nimejiridhisha kuwa una utumishi makini sana kwenye kutengeneza uongo, ukauamini na kuwaaminisha wengine. Naogopa iko...
  7. Mwalimu Makini

    Ombi kwa Sitta, ongea na UKAWA warudi kwa faida ya taifa zima, katiba ni ya wote sio upande mmoja tu

    Nimesoma hoja. imenifurahisha sana. imejaa busara na uzalendo mwingi. lakini siamini kama imeletwa na Chriss. chriss Lukozi huyu ninayemjua ama mwingine. jamani wengine igeni. Kwa ajili ya katiba wote tutumie busara na tuweke tofauti zetu chini. mwigulu najua uko huku. Angalia wanaCCM wenzako...
  8. Mwalimu Makini

    Kinana alipokutana na kagame

    Weka mbali na tembo.
  9. Mwalimu Makini

    CHADEMA kuimarika zaidi; inajipanga kwa sasa!

    Mjenga; Hivi ni kweli kwamba kule kwenu Lumumba ukianzisha thread yenye kumtaja Slaa Mbowe na CHADEMA unalipwa 30,000/-? Na kwamba eti wanaochangia tu hata kama wakiandika neno 'ndiyoooooo' wanakula buku 7? hiyo dili limekaa poa sana!!!
  10. Mwalimu Makini

    Deo Munishi na John Mallya wa CHADEMA

    Abunuasi; Kabla sijashangaa upuuzi ulioweka jukwaani. Nimeshtushwa na ukabila, ufamilia na usultani wa Kikwete kwamba yeye aliongoza Chalinze mara 3 mfululizo akamwachia binamu yake Said Bwamdogo sasa kwa kutumia ubabe wa majeshi, kukunjwakunjwa sheria za uchaguzi kulikosimamiwa na tume ya...
  11. Mwalimu Makini

    Diwani wa CHADEMA Moshi Mjini ashikiliwa kwa kumteka Askofu

    Katika hali ya kutatanisha Mhe. Diwani wa Viti Maalum (CHADEMA) Moshi Mjini amekamatwa na kushikiliwa na jeshi la polisi kuanzia siku ya jumatatu tRehe 1/4/2013 saa 4 asubuhi hadi jana tareh 2/4/2013 saa 8 mchana. Diwani huyu ambaye pia ni mchungaji wa kanisa la FPCT alikamatwa akiwa...
  12. Mwalimu Makini

    Hali tete Masasi

    Pamoja na Waziri Mkuu kuamuru kuwa wale wote waliokamatwa kwa uchochezi wa matukio ya vurugu Mtwara waachiwe hali ni kinyume kabisa kwani kila siku watu wanakamatwa hovyo. Kwa sasa watu wanakamatwa kwa kosa la kuwa wananchama wa CHADEMA. Jana huko Lulindi kata ya Namalenga kijiji cha Mitesa...
  13. Mwalimu Makini

    Lema: Nitabeba zigo la mabilioni ya Uswisi

    Tulipokuwa JKT kuna maafande walikuwa wakitutukana kwamba akili etu hazina ubongo bali zina kamasi. Hili neno lilikuwa likiniudhi sana. Nilishangaa inakuwaje mtu aliyeishia darasa la saba anadiriki kusema kuwa mtu aliyemaliza kidato cha sita tena akafaulu eti anatumia kamasi badala ya akili"...
  14. Mwalimu Makini

    CHADEMA - Mlima Mrefu Wenye Watu Wengi

    Najua kwamba moyo wa kulitumikia taifa utanifanya nisichoke kupanda mlima huu! Enyi watanzania wenzangu twendeni tupande. napenda kuuliza je hakuna anayeweza kupanda kwa kupitia CCM? Kama wapo wako wapi na wanapanda kivipi? Na kama hawako kwa nini?
Back
Top Bottom