Mkutano mkubwa wa UKAWA Moshi Mjini katika Picha.

Mkutano mkubwa wa UKAWA Moshi Mjini katika Picha.

Joined
Dec 5, 2009
Posts
65
Reaction score
23
Wakuu heshima,kwenu.

Ninawaletea picha za mkutano wa UKAWA kama unavyoendelea mjini Moshi leo kwenye viwanja vya Railway.
Kwa hakika mkutano umehudhuriwa na umati mkubwa wa wakazi wa Moshi na wilaya za jirani na mji huu.

Jioneeni picha wenyewe. Huu ni moto wa kuotea mbali. image.jpgimage.jpgimage.jpg
 
Mkuu hawa watu unaweza kulinganisha na hawa hapa chini,kama vyama vitatu hiyo ndiyo idadi ya watu basi ukawa zero kabisa.
image.jpg
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    46 KB · Views: 475
Mkuu hawa watu unaweza kulinganisha na hawa hapa chini,kama vyama vitatu hiyo ndiyo idadi ya watu basi ukawa zero kabisa.
View attachment 158204

Mjepo hawa ulioona katika mkutano wa UKAWA wamekuja wenyewe kutoka majumbani kwao. Hawajabebwa na malori wala coaster. Sisi tunaoleta habari tunafanya kwa raha zetu, hatulipwi buku 7.
Hatutukani wala kuponda kwa sababu hatujajifunza hilo wala hatulipwi kwa kuponda na kutukana wenye akili.

Nawasilishi tu!
 
Pamoja na mvua kunyesha bado wananchi waling'ang'ania kumsikiliza Dr. Slaa. image.jpgimage.jpg
 
Mvua imesumbua sana.Ndio natoka kwa mkutano.Kama kawaida huwez kutoka bure,nimewaelewa ukawa especially Dr Slaa
 
Mkuu hawa watu unaweza kulinganisha na hawa hapa chini,kama vyama vitatu hiyo ndiyo idadi ya watu basi ukawa zero kabisa.
View attachment 158204

Hao wamekaa,wasimamishe ndo utajua wachache au wengi.Mtu akikaa huchukua nafasi kubwa tofauti na akisimama.

Waambie wasimame,vinginevyo mmeamua kujidanganya au kujifariji.

Aidha,UKAWA haiazimi wala kukodi wahudhuriaji,Hadhira ktk mikutano ya UKAWA haifuatwi vyuoni na shuleni.
 
Mkuu hawa watu unaweza kulinganisha na hawa hapa chini,kama vyama vitatu hiyo ndiyo idadi ya watu basi ukawa zero kabisa.
View attachment 158204

hiii picha naikumbuka ni ile iliyopigwa siku ya ufunguzi wa ccm 2010 jangwani siku ambayo jamaa MZEE WA KAYA alikula mweleka mzito. akawahishwa hospitali.
 
Mkuu wakimaliza kuongea uongo wao wakumbushe kuwa tunataka serikali mbili kama hivi.
Serikali mbili ndizo zilizopo na matatizo yote ya kero tuliyonayo, kulazimisha serikali mbili ni kutaka kuendeleza kero hizo,ccm tumieni akili tuwaachie nchi bora wanetu.
 
Back
Top Bottom