Recent content by mwalim parite

  1. M

    JamiiForums Tanzania Dk john magoti anavyofuja mali za uma,serikali ipo likizo?

    na ameagiza gari nyingine ya serikali imfate bi mdogo dsm
  2. M

    JamiiForums Tanzania Boom kupandishwa kutoka sh.7500/= mpaka 9750/=

    kweli inapandishwa mpaka elfu 10
  3. M

    JamiiForums Tanzania Dk john magoti anavyofuja mali za uma,serikali ipo likizo?

    ndugu wanajanvi kama haujawahi kujionea basi sikia hapa huyu mtu ni mkuu wa chuo cha kumbukumbu ya mwalimu nyerere cha kigamboni karibu miaka 20 sasa yupo katika chuo hiki,alistaafu akapewa miaka mitao ya ziada akamaliza akapewa tena miaka mingine miwili mpaka 2014 na sasa anaanza kuomba tena...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Chuo cha kumbukumbu ya mw Nyerere kifanyiwe marekebisho

    ndugu zangu naomba niseme kwa ufupi ukiwa uzalendo umenishinda kuwa ni aibu kwa Taifa kuwa na mtu aliekuwa na kipaji cha ajabu na chenye manufaa kama mwalimu Nyerere na mpaka sasa hakuna chuo cha maadili yake na kila kukicha chuo kilichoanzishwa ili kumuenzi kina chakachuliwa.Hautaamini...
Back
Top Bottom