Recent content by Mwalihehe

  1. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA Zanzibar watoa Tamko, Wasikitishwa na madai ya Said Issa Mohamed kuwa aliishtaki CHADEMA kwa niaba yao

    Said Mohamed anatumika na CCM sasa mwisho wao ni aibu. Maana CCM mwisho wao umefika. Yaani Kwa heli CCM majambazi.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Wanaokaa vikao kwamba huyu tumfanyeje, niwaambie hamnifanyi kitu. Utotoni nishahangaika na simba na chui na hawakunifanya kitu

    Ameanza kuchanganyikiwa. NASHAURI wampime, maana nahisi ana tatizo la afya ya akili
  3. M

    JamiiForums Tanzania Padri Charles Kitima ana chuki binafsi na Rais Samia na amekosa adabu na heshima kwa Rais. Rais Alifanya vyema sana kuondoka Kanisani bila kuzungumza

    Sema amekukwaza wewe, sio wengi. Kitima yuko sahihi kabisaaaaa! Rais wenu wa mchongo muuwaji
  4. M

    JamiiForums Tanzania Sili tena nyama za buchani

    Duuuuu! Kali hii 🤔
  5. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia akipokea Hati za Utambulisho wa Mabalozi, Ikulu Chamwino - Disemba 12, 2025

    Hapo sasa. Hii itakuwa sio kweli, yakitambo sana
  6. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania hatuelewi tunachotaka,ni roho mbaya tu

    Tumia akili, usitumie tumbo. Tisa December 2025
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kuna wimbi kubwa sana la Askari Polisi kutengwa na jamii huku mitaani

    Wengine wanaogopa Hadi kuvaa sale zao. Wakiwa maeneo ya majumbani mwao
  8. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Pendekezo Rahisi: Maneno 3 akiyasema Samia kesho yatazuia Maandamano yasiyo na Ukomo

    Asema ndugu Watanzania Mimi najiuzulu maana sikupita kwa haki. Hivyo Uchaguzi uludiwe.
  9. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasifu (CV) wa Naibu Waziri wa Elimu, Wanu Hafidh Ameir sijauelewa kabisa

    Wakati huu sio sahihi kiongozi WA nchi kuteuwa mwane maana yajayo ni majonzi kwao
  10. M

    JamiiForums Tanzania Wametepeta: Jeshi lasema halitaruhusu mauaji mengine kumlinda mtu mmoja. D9 sijui

    Kazikazi 9 December 2025
  11. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hotuba ya Rais Samia yawabubujisha Machozi ya Furaha watanzania

    Imeleta Imeleta furaha Kwa waz Imeleta furaha Kwa wazanzibari bali ni huzuni Kwa watanganyika. Tukutane 9 December 2025. Patashika na nguo kuchanika
  12. M

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Rais Samia ni Nyota njema iliyoonekana ahsubuhi!

    Alishasema waliokufa siowatanzania ni watu toka nje sasa anasikitika Nini? Hotuba takataka hii. Watu wamekufa na kutupwa kusikojulikana, tunatafuta ndugu zetu hatuwaoni.
Back
Top Bottom