Recent content by mwakitopile

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nisomee master ya nini nina degree ya Baed

    Jamani hivi kama nina degree ya Baed naweza somea masters ya kitu gani ukiacha education kuiyunga tenaa?please naomba mnijibu.
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania idm msaada

    Natumia idm preactivated ila haidownload movie kayika pc yangu jamani plz maomba mwenye idm link ambayo ina serial namba anisaidie plz
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Screen shot tecno m3

    jamani mbona cmu yangu na bofya hiyo namba hapo haifanyi kitu au hadi tecno?
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania msaada wa folder lock

    jamani nlikuwa na folder lock yangu sasa ilikuwa trial kama kuna mtu anaweza kunisaidia ambayo sio ya dizyn hyo antumie hata link ni download hapa plz,au jinsi ya kuitumia hyohyo ila pia nimesahau psd yake ni mda sasa.
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania jamani proxy zimefungwa ama?

    jaman hivi hii inatumika vipi
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ukubwa wa GPA si kuwa na maarifa.

    ingetafutwa njia nzur sababu rushwa na ngono ndio zinazotawala vyuoni ili mtu awez kupata gpa nzuri na hata mwisho wa siku aweze kubakishwa kwa kigezo cha gpa hali halisi hana uwezo hata wa kukopia nalaani san hasa haya ma vyuo ya private coz wanajifanya wanabana elimu yao kwa kupandisha grade...
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania mapenzi na watoto wanao jifanya wakishua ni magumu.

    nina mpenzi wangu anaitwa jasmini nipo nae chuo kimoja kasoro kozi zetu ndio tofauti.mimi nimepanga nje kidogo ya chuo yani naishi gheto na nikawaida yake yeye kuja kunitembelea anavyotaka pia kiukweli nampenda sana na yeye analijua hilo.kiukweli nina malengo nae ya kumuowa japo tuna tofauti za...
Back
Top Bottom