Recent content by mwakipesileseba

  1. M

    JamiiForums Tanzania Eventually nimeikuta tecno gsmarena

    Ni hatua nzuri kwa Tecno kwani simu zao zitazidi kufahamika kote ulimwenguni. Naomba niseme, simu kuwa reviewed na GSMARENA.COM haimanishi kuwa simu hiyo ni simu bora au ni brand bora kuliko zingine, gsmarena.com wanareview simu popular kulingana na wanavyozipata ko kwa miaka kadhaa nyuma huenda...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Jibu ya kwamba YUPO lipo katika uwezo wa kujibu ulicho jibu, kwani huo uwezo sio kitu kilichotokea chenyewe. Sent from my SM-J727P using Tapatalk
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Mungu alifanya binadamu ambaye awali alikuwa hajui maovu kabisa. Mfano wako sio halisi kwani mtoto mdogo zuri na baya hata halijui Sent from my SM-J727P using Tapatalk
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Wapole na wenye haki watarithi nchi (confusion inaanzia hapa) kama unaona mambo juu juu. Sent from my SM-J727P using Tapatalk
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Jifunze kujifunza. Miaka 10 sasa najifunza na wasabato na Mashahidi. Sent from my SM-J727P using Tapatalk
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Wameshika neno la baada ya GHARIKA pale kwa mara ya kwanza alivyo ruhusu kula nyama ya baadhi ya wanyama "hivyo vyote kuleni ila msile pamoja na damu yake, kwa maana nitaihitaji" na ndo maana watu wengi wa zamani nyama ilikuwa haipikwi bila kubanikwa. Hii ilisaidia sana kuepukana na magonjwa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Yeah, na unatoa sadaka muda unanisikia. Unaweza ukawa nyumbani ukajisikia kutoa unaenda zako unatoa sadaka. Sent from my SM-J727P using Tapatalk
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Hata huyo ni binadamu tu, unaaminije ka anaseama ukweli. Kuna nguvu ya ajabu sana ambayo inakufanya uwaze juu ya jibu analotaka kunijibu hapa. Chunguza Kinyonga, kipepeo, mjongeo wa mwili wako n.k. Sio vitu vya kubuni katu. Sent from my SM-J727P using Tapatalk
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Jibu ni kwamba Mungu, ni Mungu wa haki. Alipo umba binadamu alimpa uhuru wa kuishi milele au kufa. Kwa hiyo binadamu alichagua mateso mwenyewe. Sent from my SM-J727P using Tapatalk
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Misingi ya ukristo ni ipi? Msikandie tu watu hapa. Sent from my SM-J727P using Tapatalk
  11. M

    JamiiForums Tanzania Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Mashahidi hawaamini kuwa Yesu ni Mungu, ila Wasabato Yesu ni Mungu mwenyewe. Ila vingi wanafanana Sent from my SM-J727P using Tapatalk
  12. M

    JamiiForums Tanzania Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Mkuu kumbe unawajuajua. Na kuongezea ni kuwa hawa amini kuwa Yesu ni Mungu na hapa ndo utofauti wao mkubwa na Wasabato. Sent from my SM-J727P using Tapatalk
  13. M

    JamiiForums Tanzania Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Nimejifunza sana nao Biblia, na nimehudhuria makongamano yao nikiwa Mwanza 2012-2016. Sijawahi kusoma,kutamkiwa hata kusikia unachoongelea kubusu wao. Sent from my SM-J727P using Tapatalk
  14. M

    JamiiForums Tanzania Nani alianzisha dhehebu la Mashahidi wa Yehova?

    Naomba namba la toleo la JARIDA Sent from my SM-J727P using Tapatalk
  15. M

    JamiiForums Tanzania Hosteli za Magufuli chuoni UDSM: Miundombinu ya maji nayo ni changamoto kubwa!

    Wewe kuteuliwa balozi labda. Kuna mtu kwenye thread flan kusuhu ujenz wa zile hostel alisema ile bajeti haitoshi ila watu walio weng walimpinga na kumtukana na kumsema hana uzalendo. Na, neno lake la mwisho lilikuwa "siku likipata nyufa mtaelewa nazungumzia nini" Natamani aje hapa aseme...
Back
Top Bottom