hujasema ulimwacha au ulimla maana naona unatoa maelezo mengi!!!! hii dunia ya sasa ni ubunifu kwa kwenda, tena ukikuta serikali ambazo haziko makini kama zetu. ni mengi yanafanyika kwa vivuli vya biashara zingine
Mtandao wa vodacom ni wezi wa Hela za wateja, wiki moja iliyopita Mke wangu alikuwa na salio la sh 3000 kwenye simu , siku hiyo ya kwanza wakakwiba tsh 300/=, siku ya pili wakakwiba tena 300/=. ikabidi kuwatafuta cha ajabu wakamwambia wife kajiunga na tusua mapene, maskini wife akabaki...
hatuwezi kwenda kenya kuomba kazi sababu hatuwezi shindana na wakenya, na ndy maana makampuni mengi ya nje yaliyowekeza tanzania yanatoa fursa za ajira nzuri kwa wakenya kuliko watanzania
Mh Lisu katumia busara, kusema hawa fahamu hao watu na hiyo yote kupunguza maswali na shauku ya watu kutaka kujua. Mh Lisu anajua ataanzisha kitu kipya akisema anawafahamu. Ngoja arudi tutajua mbivu na mbichi
Kama mlengwa aliisha vifahamisha vyombo vya usalama kuhusu kufuatiliwa na watu wasiojulikana (jina la kikundi cha ugaidi tanzania), na wakapuuza, kwanini tupate shida kujua wahusika?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.