Wandugu changamkieni ajira 30 pale TASAF. ona link chini na attachment pia...
Kila jema. Mtangulizeni MUNGU katika yote, maana yeye ndie muweza.
New Vacancies
Visingizio tuache. Yanga ni timu bora kwa sasa na timu kongwe Afrika mashariki na kati.
Hongereni Yanga.
Yanga inatisha. Mwenye wivu ajinyonge.
Ushabiki ni kukubali matokeo.
Nafikili wewe ndugu yangu uanyesema Mwandike kawabeba Yanga hujui mpira na pengine hata ushabiki huujui.
Mwandike ni kocha anayeheshimika sana katika medani ya soka , wewe ni nani hata useme hivyo?hata kurusha mpira tu hujui. Achana na ushabiki usio kuwa na hoja.
Yanga ndio timu bora, lakini...
Hakika Yanga inatisha. Nani kasema, Yanga ni kuendeleza kipigo tu. Yanga haiangalii mtu usoni.
Hongera Mweneyekiti Madega na viongozi wengine wa club hii ya mtaa wa Twiga na Jangwani kwa kuwaonyesha simba kuwa Yanga ndio Club kongwa Afrika mashariki na kati.
Mosho waliouwasha Yanga nani wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.