Dawa inauzwa niambie upo wapi nitakuunganisha na wadau, matumizi ikiwezekana ni muhimu kufika shambani.Hiyo dawa ikipiga hata nanasi uliopanda leo inatoa mbegu.Kujifunza kwa vitendo ni muhimu zaidi kuliko theories za kwenye mtandao usijepoteza hela yako,ukiwahi kuipiga unapata nanasi ndogo...
Kwa Sasa tuna dawa ya kuchavusha maua/ kutungisha/ kuchavuja yakikomaa unapiga tena almost nanasi zote zinaweza iva wakati mmoja.Na wateja off season wapo wa kutosha mfano mimi Sasa hivi wanataka na ambazo hazijaiva kabisa kwasababu zipo off season.Pili ni kweli wasimamizi wanapiga hasa kipindi...
Mimi nimelima,nazingatia huduma zote za zao.Na pia niwaambie kwa Sasa tuna dawa ambayo unaweka Ili uvune nanasi mwezi ambao hauna nanasi nyingi.Cha muhimu zingatia kuhudumia vizuri Ili nanasi zitoke kubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.