Recent content by mwakasyuka

  1. M

    Naomba kujua gharama za kutoka Tanzania mpaka Australia pamoja na hali ya maisha huko

    Ko hii 2500 ni papo kwa papo au ndo mpaka ukate tiket b4
  2. M

    Naomba kujua gharama za kutoka Tanzania mpaka Australia pamoja na hali ya maisha huko

    Hamna bro nmepata data moja iv kwamba kule mtu akiwa hana kazi ujue kaamua tu lakini ajira zipo za kutosha na wananchi wake wanalipwa kila week bro pesa ya kula.
  3. M

    Naomba kujua gharama za kutoka Tanzania mpaka Australia pamoja na hali ya maisha huko

    Malafyale naskia kule c mchezo maisha tofauti kabisa na bongo hapa.
  4. M

    Naomba kujua gharama za kutoka Tanzania mpaka Australia pamoja na hali ya maisha huko

    Sasa ukifika af hamna ajira km bongo tu hapa utaishije bro?
  5. M

    Naomba kujua gharama za kutoka Tanzania mpaka Australia pamoja na hali ya maisha huko

    Jamani kama hapo juu panavojieleza nahitaji kwenda kutafta maisha Australia sasa nataka mtu mwenye experience na mazingira hayo aweze kunisaidia kuwa mwenyeji wangu, kunijulisha gharama za kutoka hapo Bongo mpaka huko lakini pia upatakanaji wa ajira huko vp? Karibuni wadau.
  6. M

    Kuna watu tuliumbwa kupishana na gari la mapenzi

    unajua nini ww ni mwanamke wa mtu mwingine ambaye hujamjua na lazima uelewe sio kila mwanamke mzuri basi ni mzuri kwa kila mtu bali mwanamke ni mzuri kwa mtu mmoja tu.
  7. M

    Mimi mwalimu wa GEOGRAPHY NA HISTORY natafuta kazi SIMU namba 0763075251

    Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu cha mwenge catholic, katika fani ya ualimu wa GEOGRAPHY na HISTORY kama kuna shule inahitaji walimu nipo tayari bila kujali mazingira ya aina yoyote, naomba kwa atakayenihitaji anitafute kupitia namba ya simu ifuatayo; 0763075251 au E-MAIL; OMWAKASYUKA@GMAIL.COM.
  8. M

    Uchaguzi wa TAHLISO unafanyika Mwenge

    jaman uchaguzi wa tahliso unafanyka mwenge na mpaka sasa raisi hajatangazwa sasa huyo mnampongeza kachaguliwa wapi na kachaguliwa na akina nan? please kama una taarifa tujuze.
Back
Top Bottom