Hamna bro nmepata data moja iv kwamba kule mtu akiwa hana kazi ujue kaamua tu lakini ajira zipo za kutosha na wananchi wake wanalipwa kila week bro pesa ya kula.
Jamani kama hapo juu panavojieleza nahitaji kwenda kutafta maisha Australia sasa nataka mtu mwenye experience na mazingira hayo aweze kunisaidia kuwa mwenyeji wangu, kunijulisha gharama za kutoka hapo Bongo mpaka huko lakini pia upatakanaji wa ajira huko vp?
Karibuni wadau.
unajua nini ww ni mwanamke wa mtu mwingine ambaye hujamjua na lazima uelewe sio kila mwanamke mzuri basi ni mzuri kwa kila mtu bali mwanamke ni mzuri kwa mtu mmoja tu.
Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu cha mwenge catholic, katika fani ya ualimu wa GEOGRAPHY na HISTORY kama kuna shule inahitaji walimu nipo tayari bila kujali mazingira ya aina yoyote, naomba kwa atakayenihitaji anitafute kupitia namba ya simu ifuatayo; 0763075251 au E-MAIL; OMWAKASYUKA@GMAIL.COM.
jaman uchaguzi wa tahliso unafanyka mwenge na mpaka sasa raisi hajatangazwa sasa huyo mnampongeza kachaguliwa wapi na kachaguliwa na akina nan? please kama una taarifa tujuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.