Recent content by mwakaroho

  1. M

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    mbona yeye alijiuzia nyumba za NBC tukuyu mpaka leo wafanyakazi hawana makazi na yeye ndio fisadi mkubwa sana asubirie watu wa kyela kumkata tuu
  2. M

    Edward Lowassa aongea na Watanzania; aahidi Katiba Mpya itapewa kipaumbele - Oktoba 23, 2015

    Hivi mwakyembe atakuwa na nguvu ya kumdadavua lowasa wakati atakuwa ameshakatwa na wana kyela. kwa tunaomuona mwakyembe fisadi aliyejiuzia nyumba za NBC tukuyu kwa hela za kununulia uwanja hana uwwezo huo kachanganyikiwa na kukatwa na wanakyela hasalimii watu yeye ni kununa tuu
  3. M

    Kulala kwa Lowassa Msibani kuwe Funzo kwa Wapiga kura Tanzania

    duuuhhh kama ni uongo umezidi kusali siku hizi imekuwa kusinzia? katafute kiki nyingine hii imeota mbawa
  4. M

    Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa kutoshiriki mdahalo wa Oktoba 18, 2015

    mdahalo sio lazima ni huyari ko hawajasusa wameamua kwa hiyar yao kutoshiriki tafuta sababu nyingine
  5. M

    Kinana ainyamazisha Mbeya, waahidi ushindi kwa CCM

    Mtu wa kuishawishi na kuinyamazisha mbeya upande wa CCM ni mwandosya sio huyo muwindaji wa tembo kinana baada ya mwandosya kukaa kimya mtu mwenye ushawishi huo ni SUGU pekeake. kinana tunamuenjoy na helkopta yake mbovu ili ajisikie nae kiongozi akiondoka tuu ni chadema mwendo mdundo. nawaambia...
  6. M

    Huyu mzungu atanikubali kweli?

    jifunze style za kumchinja kobe ukimtongoza tuu unapewa za uso ila mlie tyming tuu
  7. M

    Mabadiliko tuliyokuwa tunayahitaji siyo ya udini ukanda na ukabila ni ya kupinga ufisadi

    kweli kuna haja ya kuwarudisha shule vijana wote walioanza darasa oa kwanza 1986 mpaka sasa koz nchi inaangamia kwa kutokuwa na watu wanaofikiri. kwa hili kweli huu ni mwaka wa elimu kwanza
  8. M

    Kwanini viongozi wote wanaotoka CCM hawajiungi na CHADEMA moja kwa moja?

    kaka walichokifanya kingunge na sumaye ni kuunga mkono upinzani na uungaji mkono sio lazma uwe na chama na wao sio wa kwanza ndio maana hata raisi mstaafu wa nigeria olesugun obasanjo alikihama chama chake ili kuunga mkono upinzani ila hakujiunga na chama chochote kile yupo huru na haikumaanisha...
  9. M

    Walimu wanahitajika

    shule gan hiyo
Back
Top Bottom