Recent content by mwakaleli83

  1. M

    CCM njiapanda Urais 2015: Kumpitisha Lowassa au chama kumeguka

    Utake usitake lowassa raisi au ccm ifie mbali sisi hatuna maneno mengi ni strategies tuu we piga kelele si chuna cheza na hesabu tu za wajumbe
  2. M

    CCM njiapanda Urais 2015: Kumpitisha Lowassa au chama kumeguka

    Mpaka sasa kamati ya maadili ya Chama Cha Mapinduzi CCM bado iko njia panda katika kufanya maamuzi magumu juu ya wanachama wake waliofungiwa kwa kuanza kampeni mapema. Imebainika kuwa sababu kubwa inayowafanya wajumbe kamati hiyo inayoongozwa na Philip Mangula kuwa wakati mgumu kutona na kwamba...
  3. M

    Jaji Lubuva: Nape angeijua Serikali asingekurupuka

    Nape ni mtu mwenye uwezo mdogo sana wa kufikiri
  4. M

    Nape: NEC wawajibishwe

    Nape ni mropokaji mno wakati mwingine mdomo wake hauna ushirikiano na ubongo kabisa huyu mtu
  5. M

    Tundu Lissu atangaza rasmi Zitto Kabwe kuvuliwa uanachama wa CHADEMA

    Hivi wewe uko milembe dodoma nahisi uliwahi kuugua degedege ukiwa mtoto pole sana huo ndo ukweli
  6. M

    Tundu Lissu atangaza rasmi Zitto Kabwe kuvuliwa uanachama wa CHADEMA

    Watanzania mnapaswa kuelewa kua tatizo la chadema nikuto practice dhana nzima wanayo itumia kwa sasa ya movement for change m4c hii wanapaswa kuelewa pia hata ndani ya chama kuna muda watu wanahitaji change sasa tatizo la viongozi wa chadema sijui kama wanaaamini katika mabadiliko ndio maana...
  7. M

    Tundu Lissu atangaza rasmi Zitto Kabwe kuvuliwa uanachama wa CHADEMA

    Ni week mbili sasa toka zitto kabwe kufukuzwa chadema kufuatia kile kilicho amuliwa na mahakama. Lakini wachambuzi wa mambo wamegundua yafuatayo: 1. Zitto amefukuzwa sababu kubwa viongozi wa chadema kutokukubali ukweli kwamba sometimes peoples needs changes,hatukatai inawezekana kabisa kua kuna...
  8. M

    CCM wakubali yaishe

    Kufuatia CCM kushindwa na nguvu kubwa ya ushawishi wa Lowassa katika harakati za kumpata mgombea sasa wakubali yaishe na kusema tuache wanachama waamue kuchagua mtu wanayeona anafaa. CCM wamefikia uamuzi huo baada ya kurudi nyuma na kukumbuka kilichowapata katika uchaguzi uliopita hasa katika...
  9. M

    ACT - Tanzania inapambana na vyama vyote Tanzania

    Watanzania mnapaswa kuelewa kua tatizo la chadema nikuto practice dhana nzima wanayo itumia kwa sasa ya movement for change m4c hii wanapaswa kuelewa pia hata ndani ya chama kuna muda watu wanahitaji change sasa tatizo la viongozi wa chadema sijui kama wanaaamini katika mabadiliko ndio maana...
Back
Top Bottom