Dogo ukitaka uliwe 5000 yako we appeal, watu toka tume appeal mwaka jana no feedback, hadi tukaomba upya lakin hamna lolote, in short hawa jamaa ni mizinguo tu.Na kama upo home huwezi appeal sababu kuna reg number na mhuli wa dean of student unahitajika.IN SHORT MDA WA KUAPPEAL BADO HUJAFIKA...
Jamani naomba mnisaidie kati ya hizi elective course ni opt course gani?:
1:introduction to astronomy and astrophysics, (10 units)
2: numerical analysis, (10 units)
3: earth-atmosphere system (7.5 units).
habari wakubwa!
samahani naomba mnisaidie kati ya hizi kozi ni opt ipi:
1:astronomy and astrophysics, (10 units)
2:numerical analysis, (10 units) au
3: earth-atmosphere system. (7.5 units)
MSAADA WENU NI MUHIMU WAKUBWA
dah, kaka sio ardhi tu UDOM ndio usiseme, nina siku ya 3 leo na sijui hatma yangu maana bila registration hupati room hata kama umeshalipia accomodation, mkopo sina na ada yangu ni 1.2M, natakiwa kulipa 600,000/= for tution fee, 144,000/= for accomodation, 100,000/= medical fee na 5000/= for...
Msaada kwa anaejua kuhusu hii course 'bachelor of science in physics'
1: Ina mtrain m2 kuja kuwa nani?
2:field zao huwa wanafanyia wapi?
3:Is it marketable?
Kuna mdogo wng kachaguliwa kwenda kuisoma bagamoyo university but he know nothing about it wala hakuichagua, na kwa taarifa nilizopata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.