Kama kweli wewe ni mgombe inaonyesha unauwezo mdogo sana wa kufikiri hata uwepo wako hapo chuoni napata mashaka ulifikaje kuna kila sababu ya viongozi wa chou kufuatilia ilifikaje hapo ulipo jaribu sana hata kama unapenda siasa husijaribu kujifunza siasa za uchochezi kwani kwa tanzania hazina...
Pumbavu sana sijaona ufisadi wowote katika yote uliose kabla ya kufanya au kusema lolote fanya utafiti kwanza kwani ulicho kisema kinaonyesha hukufanya utafiti wewe ilitakiwa kuwa mpiga debe si msomi
kuna watu najua hawapendi kukubali ukweli ila chadema hawana muda act ndiyo kinakuja kuwa chama kuu cha upinzani tanzania na habari ya chadema itakuwa imeishia hapo kama unataka kujua hilo jaribu kuuliza NCCR wako wapi
Watanzania naomba kukiunga mkono chama cha a.c.t maendeleo kwani ndiyo habari ya mjini kwasasa wakati umefika wakuwa na wapinzani wa ukweli siyo wapinzani wa kutaka wawe wao tu nini maana ya demokrasia kama huwezi kuwapisha wezako kuchukua nafasi eti nimeombwa na wazee chadema waache...
Unajua inapofikia wakati mtu mzima mwenzako anakuona huna akili ni dharau kubwa sana na inapofikia chama kinaona watanzania hawana akili ni dharau kubwa sana tufike mahali CHADEMA iwaeleze Watanzania ukweli juu ya harakati walizo anzisha kwani hazina uwazi na ukweli wala mwelekeo wamekuwa ni...
Leo mheshimiwa Thelathini alikuwepo Ihumwa Dodoma hakuna jipya zaidi ya kuendelea kupita kwenye kazi ngumu na nzito aliyofanya Zitto Zuberi Kabwe na kuwakashifu wapiga wa jimbo la Dodoma embu CHADEMA wampe taaluma ya kuongea kwenye majukwaa.
Njaa wapi mkuu unajua inawezekana hata anapotangaza nia mke wake hajui ndiyo maana anakosa mahaamuuzi sahii ni bora andeacha kutoa kuliko kuwazalilisha wa2 kuna siku kawakusanya watu kaazisha ligi zawadi 10000
Uwezi amini kuna mgombe hanaitaji kugombea ubunge wa jimbo la Dodoma mjini akiwaita kuwaeleza niya yake ya kugombea ubunge hatakama mpo 200 anatoa 10,000 kama posho ya kikao hivi tuuze jimbo kwa 10,000 tena anajiita mjasiria mali mmiliki wa hoteli flani huyu ni chizi tunaomba maoni yenu...
Kuna tetesi wakazi wa jimbo la dodoma mjini wanataka kumkabithi kijana jimbo kama wewe ni mkazi wa dodoma naomba nipate maoni yako juu ya tetesi hizi kwani huu ndiyo wakati muhafaka
Lowasa ndiye rais wa tanzania ila kwa sababu ya katiba inabidi uchaguzi ufanyike lowasa anaijua nchi hii vizuri huwezi kumpa muhuni mwingine kama unabisha tukutane nov 2015 utaniambia
Wakuu ni kweli kuna baadhi ya waheshimiwa wamekalia kuti kavu ikiwepo mbuge wetu wa jimbo la dodoma mjini mheshimiwa malole muda wake umefika mwisho kuna kijana tunataka tumpe jimbo hatufikishe pale tunapo hitaji huwezi kuwa mbuge wa posho mpaka lini?
Hama kweli ccm ni noma unajua hakuna binadamu mjinga kila mara unaweza kuwa mjinga wakati wa kwenda ila siyo wa kurudi kinana kaza buti hao chadema tunajua watakata matokeo ila hakuna mpinzani anae weza kupewa nchi hii hakuna na hakuna
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.