Ni vigumu sana kujua mambo ya majeshi nakushauri yaaje kama yalivyo nauli sijui maslah waachie wenyewe km kuna ambao pia wanatakiwa wasitoe na unaona wanaonewa ona namna ya kuwasaidia ili na wao wapate hiyo huduma ya daladala bure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.