nape atatusaidia sana ccm kuendana na vijana Wa chadema wenye vurugu bungeni kama sugu, mnyika, mdee, lema kama atapita tena, tindulisu na wengineo dawa ishapatikana we unajiita mwanaccm unajua nape kaagizwa nn mwache afanye kazi yake we usiyejua usimfundishe kazi utulie tena chunga mdomo wako
hebu tuachane na magazeti ya udaku lowasa wa watu alisha jipumzikia na ng'ombe zake huko monduli kama alivosema hapo awali akihojiwa na bbc
mi ntasema neno mpaka nimsikie lowasa kasema live
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.