Recent content by MWAISEMBA CR

  1. MWAISEMBA CR

    JamiiForums Tanzania Tathmini ya Kampeni ya “No Reforms, No Election” na Mapendekezo ya Hatua za Haraka

    BARUA YA WAZI KWA VIONGOZI WA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) Yah: Tathmini ya Kampeni ya “No Reform No Election” na Mapendekezo ya Hatua za Haraka Viongozi wangu wapendwa, Kwa heshima na taadhima, ninawandikia barua hii kama mwanachama mtiifu wa CHADEMA, mwenye mapenzi makubwa...
  2. MWAISEMBA CR

    JamiiForums Tanzania Hoja yangu kuhusu utekaji na mabadiliko ya mara kwa mara kwa dgis

    🟡 𝐇𝐎𝐉𝐀 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐊𝐔𝐇𝐔𝐒𝐔 𝐔𝐓𝐄𝐊𝐀𝐉𝐈 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐁𝐀𝐃𝐈𝐋𝐈𝐊𝐎 𝐘𝐀 𝐌𝐀𝐑𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐑𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐃𝐆𝐈𝐒 Jamani, naomba nieleweke vizuri. Mimi si pingamizi la hoja kwamba vitendo vya utekaji vinaendelea—wala simpingi hoja za watu kama Mh. Gwajima kuhusu hali hiyo. Utekaji ni kweli umetokea na bado unatokea, hiyo haibishaniwi na...
  3. MWAISEMBA CR

    JamiiForums Tanzania Nakubaliana na hoja za Mhe Lissu, ila Mhe Mbowe ndiye anafaa kuwa Mwenyekiti

    Kwanza nianze kwa kusema, kutokana na vuguvugu hili la Uchaguzi wa Uenyekiti wa Chadema lilivyo na mvuto katika jamii ya Tanzania,nimetokea kufuatwa na wadau wengi wa kisiasa wakinitaka nitoe mtizamo wangu kuhusu hili na nieleze nani anafaa kati yao ingawa mimi binafsi 𝑺𝒊𝒐 𝑻𝒆𝒂𝒎 𝑳𝒊𝒔𝒖 𝒘𝒂𝒍𝒂 𝑺𝒊𝒐...
  4. MWAISEMBA CR

    JamiiForums Tanzania Je, ulinzi shirikishi ni biashara haramu?

    ✳️JE ULINZI SHIRIKISHI NI BIASHARA HARAMU!? 🔜JE, NI NANI MWAJIRI WA HAWA POLISI JAMII, NA JE WAPO KISHERIA NA MAFUNZO YAO WAMEYATOA WAPI!? 🔜KWANINI WANANCHI TULIPIE ULINZI SHIRIKISHI WAKATI TUNALIPA KODI!? 🔜NA IKIWA TUNALIPIA, JE POLISI JAMII WATAWAJIBIKA KUTULIPA FIDIA IKIWA WAMESHINDWA...
  5. MWAISEMBA CR

    JamiiForums Tanzania Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    ✳️MAMA SAMIA USIMUNG'UNYE MANENO,IKIWA KUNA USHOGA SEMA KUNA USHOGA‼️TOA MSIMAMO WA SERIKALI YAKO KWA TAIFA ZIMA KUHUSU HILI WIMBI LA USHOGA‼️ Wakati nchi ipo katika hii sintofahamu ya kuzuka kwa wimbi hili la ushoga, nimesikitishwa sana sana na kauli mbalimbali za Rais wa nchi ya Tanzania,Mama...
  6. MWAISEMBA CR

    JamiiForums Tanzania Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    ✳️SANAA NA WASANII NDIO KITOVU CHA KUPOROMOKA KWA MAADILI NCHINI TANZANIA 👉(UHAMASISHAJI WA USHOGA NA USAGAJI ) 🌐Na:Shujaa©️®️Ⓜ️ Ni muhimu kufahamu kutokana na nguvu kubwa ya sanaa na wasanii katika jamii,kumekuwepo na agenda nyingi kubwa nyuma yake zenye lengo la kupenyeza tamaduni za...
  7. MWAISEMBA CR

    JamiiForums Tanzania Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    ♨️USHOGA UMEINGIA TANZANIA⁉️ 🌐Na :Shujaa©️®️Ⓜ️ Ni ukweli kwamba Sheria za Tanzania na Katiba ya Tanzania inapinga maswala ya Ushoga na Mapenzi ya watu wa jinsia moja ila ni wazi na dhahiri kivitendo kuwa Viongozi wa Serikali ya Tanzania na Serikali yenyewe wanasapoti vitendo vyote vya...
  8. MWAISEMBA CR

    JamiiForums Tanzania Raisi Samia sio mfalme na sio mungu wa kuombwa kufanya kila kitu katika nchi yetu

    Jitahidi kusoma, maana nimeeleza vitu vya msingi sana
  9. MWAISEMBA CR

    JamiiForums Tanzania Raisi Samia sio mfalme na sio mungu wa kuombwa kufanya kila kitu katika nchi yetu

    Hahaaha ni mtanzania.Kwani Mwinyi alipokuwa Rais alikuwa ni mtanganyika?
  10. MWAISEMBA CR

    JamiiForums Tanzania Raisi Samia sio mfalme na sio mungu wa kuombwa kufanya kila kitu katika nchi yetu

    ✳️RAISI WA NCHI SAMIA SULUHU HASSAN SIO MFALME NA SIO MUNGU WA KUOMBWA KUFANYA KILA KITU KATIKA NCHI YETU‼️ 🔵Na:Shujaa©️®️Ⓜ️ Ni kawaida katika jamii zetu za kiafrika kusikia wananchi wakikimbilia kwa maraisi wao kueleza shida, kuomba misaada kutoka kwao, kuwaomba wawafanyie maendeleo haya...
  11. MWAISEMBA CR

    JamiiForums Tanzania Tatizo la nchi ya Tanzania ni kukosa katiba mpya

    ✳️NAOMBA NISAIDIENI KUMWAMBIA MAMA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN, TATIZO LA NCHI HII NI NINI❓ 🔵Na:Shujaa Charles Richard Mwaisemba(©️®️Ⓜ️) Kama ningelipata nafasi ya kukutana na Rais wangu Samia Suluhu Hassan, ningelimwambia ajue hasa Tatizo la nchi hii ya Tanzania ni Nini? Ila nafasi hiyo sina na...
  12. MWAISEMBA CR

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Rais Samia kuhusu katiba mpya (sehemu ya pili)

    🇹🇿BARUA YA WAZI KWA RAIS WANGU MAMA SAMIA SULUHU HASSAN KUHUSU KATIBA MPYA (SEHEMU YA PILI) Mwendelezo......... 🔵 KUTOKA KWA : Shujaa Charles Richard Mwaisemba (©️®️Ⓜ️) Tabata,Dar,Tanzania stmwaisembac@gmail.com ♨️YAH: OMBI JUU YA KURUHUSU KUENDELEA KWA MCHAKATO WA KATIBA MPYA Mama...
  13. MWAISEMBA CR

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Rais Samia kuhusu Katiba Mpya (Sehemu ya kwanza)

    🇹🇿BARUA YA WAZI KWA RAIS WANGU MAMA SAMIA SULUHU HASSAN (SEHEMU YA KWANZA) 🔵KUTOKA KWA : Shujaa Charles Richard Mwaisemba (©️®️Ⓜ️ Tabata,Dar es salaaam stmwaisembac@gmail.com ♨️YAH: OMBI JUU YA KURUHUSU KUENDELEA KWA MCHAKATO WA KUPATA KATIBA MPYA Shikamoo mama,Pole na majukumu mazito...
  14. MWAISEMBA CR

    JamiiForums Tanzania Katika hili la tozo, Sioni hatia yoyote juu Rais wetu, Samia Suluhu Hassan

    Ni ukweli usiopingika hali ya maisha ya watu yamebadilika na imezidi kuwa mbaya zaidi, hali ya uchumi imeporoka sana wala hakuna pa kupumulia, na ni kweli vitu vimepanda bei kuliko mwanzo na Zaidi ya yote wananchi tumetwishwa Msalaba mkubwa wa Kulipia kodi kila huduma tunayoifanya hasa katika...
Back
Top Bottom