Recent content by Mwaisaa

  1. M

    DOKEZO Mikopo ya Mitandaoni (kausha damu) bado ipo!!

    Natumai waliamua kutuma meseji hizo za vitisho na kukuchafua kwa watu waliopo kwenye sim yako ndani ya siku hio hio moja 😄
  2. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ha ha sikumbuki jina, ukinipa sifa zake naweza jua ni yeye au sio
  3. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Inaendelea... Sasa tunatoka nikamshikishisha tishu ikiwa imeandikwa namba vizuri na kubanwa na 10k kwa styl kama namsalim chap nikamwambia vocha hio utanichek Basi tukasepa mi na mdogoangu kuelekea zetu mitaa ya Nyegez stand kujiegesha maana haikua kulala tena coz ilikua tyr saa kumi na dk...
  4. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nimemiss kuwaletea visa vya kimasihara, kimasihara inaweza kua umedhamiria ila ndio kiutani tu ikubali sawa, ikatae sawa sio issue Sasa hii ilikua Mwanza nakumbuka niko kule kule kikazi nikiwa katika mradi flan ktk wizara flan iliotupa tenda ya kama mwaka iliofanya nipange kabisa karibu na site...
  5. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ha ha siijui hata,
  6. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ya Kibondo sasa kabla hatujafika Kigoma mjini hii nililiwa kimasihara sijui na pisi pia nafkiri Kama kawaida alasiri flan tumeingia Kibondo chek lodge ni mji flan hatukua na kazi kubwa so mapema tu tumekaa jua halijaza kazi ya kufanya hatuna pa kwenda hamna bado ilikua week end Lodge pale...
  7. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nakumbuka mbili za kimasihara tulipokua mkoa wa kigoma mwaka 2015 au 6 Nikiwa na boss mmoja wa masoko wa kampuni flan kubwa ya telecom Tz ziara yetu mikoa ya kanda ya ziwa na wilaya zake Katika ziara hio nakumbuka tulitembelea Kigoma na wilaya zake kadhaa ila kimasihara ilikua Kigoma mjini na...
  8. M

    Naombeni ushauri nnahisi nimerogwa!

    Pole sana, Ila hio situation ni kawaida mzee, alaf usijeweke sana kwenye mazingira ya kua huna mapungufu, kubali una mapungufu mengi tu yan amini pia hata kupunguzwa kazini sio kua umeonewa ilitokea kwa sababu, Kubali hujakamilika uku ukilia na Mungu uku ukijitahidi kujirekebisha ipo nana ila...
  9. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Maelekezo Mwanza mzee naomba inbobo, niko Cask now
  10. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ha hah kwani mtu mzima huanzia umri gani? Nkajua 18 shekhe
  11. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Ni kutokuelewa mzee, nakaa kwenye apartment iliyo ndani ya jengo la ghorofa 8 kuna apartment 16 humo ndani, kuna wengi wanajua naishi hapo lakin hawajui nakaa hata floor gani, wanajua mageti yote ila hawajui nakaa apartment ipi, ni mgeni ndani ila nje anajua jengo kwa nje vizuri tu maana kunyoa...
  12. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kimasihara yangu ingine nayo ni wiki iliopita pia... Ilikua usiku kama saa moja mbili nkapokea sim kwa jamaa yangu jirani aliyeenda safari kua nimsaidie mkewe aliye mjamzito kapatwa na uchungu na mda wa kujifungua ni kama tayari Basi chap haraka nikafika kwa bi dada yan shem alipo tukiwa na...
  13. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    😅😅😅 baharia kwenye heka
  14. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kimasihara ya leoo imenikuta wiki moja iliopita... Nikiwa katika saloon moja ya kiume nimeshamaliza kunyoa na wazo la kulipia huduma kwa simu lakini kinyoz hakua na hayo mazingira, basi ikabidi nimwambie natoka kufata wakala akasema poa poa Sasa katika kutoka wakati nafungua mlango nitoke...
  15. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Alillipia huduma mzee? Au ndio nafuu kwa afadhari? 😅
Back
Top Bottom