Ni kutokuelewa mzee, nakaa kwenye apartment iliyo ndani ya jengo la ghorofa 8 kuna apartment 16 humo ndani, kuna wengi wanajua naishi hapo lakin hawajui nakaa hata floor gani, wanajua mageti yote ila hawajui nakaa apartment ipi, ni mgeni ndani ila nje anajua jengo kwa nje vizuri tu maana kunyoa...