Inaendelea...
Sasa tunatoka nikamshikishisha tishu ikiwa imeandikwa namba vizuri na kubanwa na 10k kwa styl kama namsalim chap nikamwambia vocha hio utanichek
Basi tukasepa mi na mdogoangu kuelekea zetu mitaa ya Nyegez stand kujiegesha maana haikua kulala tena coz ilikua tyr saa kumi na dk...
Nimemiss kuwaletea visa vya kimasihara, kimasihara inaweza kua umedhamiria ila ndio kiutani tu ikubali sawa, ikatae sawa sio issue
Sasa hii ilikua Mwanza nakumbuka niko kule kule kikazi nikiwa katika mradi flan ktk wizara flan iliotupa tenda ya kama mwaka iliofanya nipange kabisa karibu na site...
Ya Kibondo sasa kabla hatujafika Kigoma mjini hii nililiwa kimasihara sijui na pisi pia nafkiri
Kama kawaida alasiri flan tumeingia Kibondo chek lodge ni mji flan hatukua na kazi kubwa so mapema tu tumekaa jua halijaza kazi ya kufanya hatuna pa kwenda hamna bado ilikua week end
Lodge pale...
Nakumbuka mbili za kimasihara tulipokua mkoa wa kigoma mwaka 2015 au 6
Nikiwa na boss mmoja wa masoko wa kampuni flan kubwa ya telecom Tz ziara yetu mikoa ya kanda ya ziwa na wilaya zake
Katika ziara hio nakumbuka tulitembelea Kigoma na wilaya zake kadhaa ila kimasihara ilikua Kigoma mjini na...
Pole sana,
Ila hio situation ni kawaida mzee, alaf usijeweke sana kwenye mazingira ya kua huna mapungufu, kubali una mapungufu mengi tu yan amini pia hata kupunguzwa kazini sio kua umeonewa ilitokea kwa sababu,
Kubali hujakamilika uku ukilia na Mungu uku ukijitahidi kujirekebisha ipo nana ila...
Ni kutokuelewa mzee, nakaa kwenye apartment iliyo ndani ya jengo la ghorofa 8 kuna apartment 16 humo ndani, kuna wengi wanajua naishi hapo lakin hawajui nakaa hata floor gani, wanajua mageti yote ila hawajui nakaa apartment ipi, ni mgeni ndani ila nje anajua jengo kwa nje vizuri tu maana kunyoa...
Kimasihara yangu ingine nayo ni wiki iliopita pia...
Ilikua usiku kama saa moja mbili nkapokea sim kwa jamaa yangu jirani aliyeenda safari kua nimsaidie mkewe aliye mjamzito kapatwa na uchungu na mda wa kujifungua ni kama tayari
Basi chap haraka nikafika kwa bi dada yan shem alipo tukiwa na...
Kimasihara ya leoo imenikuta wiki moja iliopita...
Nikiwa katika saloon moja ya kiume nimeshamaliza kunyoa na wazo la kulipia huduma kwa simu lakini kinyoz hakua na hayo mazingira, basi ikabidi nimwambie natoka kufata wakala akasema poa poa
Sasa katika kutoka wakati nafungua mlango nitoke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.