Ahsante. Kwa mfano nilidownload facebook app yenye ukubwa wa mb 70.,nikaisave kwenye phone memory,cha ajabu ikatumia ukubwa wa 70gb badala ya 70mb, hii ni kwa chochote ninacho kisave kikiwa na mb kinachukua ukubwa wa GB.
Baada ya kusave 70mb nilotegemea ni kubaki na zaidi ya GB 249,badala yake...