Kilimo na ufugaji ndizo sector zinazotengeneza matajiri wengi sana siku za usoni, hivyo kama utamani kuwa salama siku za mbele jiwekee mazingira mazuri kwenye kilimo na ufagaji. Teknolojia ikusaidie kuongeza ufanisi.
Kama ningekua wewe nikiwa 40M
1. Naonzisha biashara ndogo ya mtaji usiozidi 15M
2. Najenga boma la kawaida vyumba vitatu vya kulala, sitting room, kitchen, store lisilozidi 15M namaanisha nainua kuta, naezeka, nafunga grill, mifumo ya maji na umeme na plaster nyumba nzima.
3. 10M naipeleka UTT...
Huyu kiumbe Tanzania anaangamizwa anawindwa sana na maharamia wengi sana ila amekua mvumilivu sana kiufupi Tanzania huna mtetezi hadi sasa bila shaka yuko njiani anakuja.
Chuki hukaa kifuani mwa mpumbavu nashauri ukatae upumbavu jipe muda kaa mbali na baba yako kama yeye alivyoamua kataa umasikini na ujinga miaka kumi baadae au zaidi utakuja kumuelewa Baba yako kwanini aliwaacha na hapo ndipo utakapoanza kumpenda na kumheshimu na mafanikio yako yataanzia hapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.