Recent content by mwadu boy

  1. mwadu boy

    Malema na Waafrika wengine wanaoonyesha chuki zao kwa mwendazake Malkia Elizabeth ni wavivu wa kufikiri

    Tunaona nyendo zenu toka KWA Tonny brayour chama chenu kimeloose direction
  2. mwadu boy

    Malema na Waafrika wengine wanaoonyesha chuki zao kwa mwendazake Malkia Elizabeth ni wavivu wa kufikiri

    Na hasa huyu mama samia. Uongozi wake ni wa hovyo uliojaa aibu.
  3. mwadu boy

    Malema na Waafrika wengine wanaoonyesha chuki zao kwa mwendazake Malkia Elizabeth ni wavivu wa kufikiri

    Namkabili bila wasi wala woga wewe mama samia2025 uliozungumza inadhihirisha dhahiri shahiri kuwa wewe na chama chako ni wapuuzi wasio na maono kabisa mnashusha bendera ya Taifa letu nusu mlingoti kumlilia bibi wa kikoloni mwafanya hayo KWA kihoro cha madeni mliyokopa na kujigeuza mbwa wa...
  4. mwadu boy

    Taarifa muhimu kwa Vijana na Shujaaz

    Mh huenda una uhakika kuhusu yeye ila huna uhakika kuhusu mimi?
  5. mwadu boy

    Taarifa muhimu kwa Vijana na Shujaaz

    Mpwayungu picha gani unayoihitaji
  6. mwadu boy

    Taarifa muhimu kwa Vijana na Shujaaz

    Wala sio hatari KWA afya vijana waliacha kupayuka siasa wakafocus kwenye maendeleo. Hata hivyo sina chuki binafsi mimi nazungumzia vijana wanavyojihusisha na mambo yanayowaletea faida kidogo mf Na kuacha mambo muhimu KWA mustakabali wa maisha yao
  7. mwadu boy

    Taarifa muhimu kwa Vijana na Shujaaz

    Salaam zenu na kongole nyingi kwa wana nasaba ya Afrika. Ni mimi mzalendo Taarifa yangu inalenga shabaha kwa VIJANA wa Kitanzania. Nimesoma vijarida vingi vidogovidogo vya Shujaaz mwandishi akiwa Dj Tee nikaona mambo mengi sana kuhusu vijana ingawa bado kuna mambo mengi vijana hawayajui walau...
  8. mwadu boy

    CCM imepauka ghafla na Umoja party imeng'aa ghafla

    Koma kusema hivyo. Takataka mwenyewe! mtu aliyetututea wanyonge unamwita takataka nenda mkacheze movie marekani huko usituletee tamthilia wazee wa hapa kazi tu! Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
  9. mwadu boy

    TBC yapaswa muwajibike kwa kuruhusu Hotuba ya Slaa inayotetea Ufashisti

    Nchi haiendi mbele kwa mwendo wa pole nguvu inahitajika kama kuna vithibitisho vya magu kuwa fashisti waviweke hadharani Kwa matrioni ya madeni nchi inayoingiza sasa mradi wa bagamoyo na uzandiki wake .wenye mimba twende shule. Kufunga sabaya na makonda jela mbona haya hamtaki yasemwe Slaa big up
  10. mwadu boy

    SoC01 Safari ya miaka 7 katika uraibu wa filamu za ngono

    Mkuu una uhakika kwa unachosema.
  11. mwadu boy

    Serikali imeungana na Dunia ya Kwanza kuwakandamiza Masikini. Acha wakandamizwe tu

    Na ni maoni yako pia . Unapaswa kujua magu alikupambania wewe. kwa hiyo wala usijikatae mkuu wangu.
  12. mwadu boy

    Serikali imeungana na Dunia ya Kwanza kuwakandamiza Masikini. Acha wakandamizwe tu

    Ninachotaka kusema magufuli alitumia nguvu kwa aina yake na ufundi wake kuiletea maendeleo nchi yake na kuwalinda watu wake kisawasawa . Huwezi kushindana na mtu mkali kwa kumfanya ajione yeye anaogopwa huwezi kumtoa siafu kwenye ngozi kwa kusema ondoka lazima umng'oe huwezi kuacha dhambi kwa...
Back
Top Bottom