Acha umbea maisha ya mtu yanakuhusu nini? Hata bibilia inasema mwanaume atamtunza mke na mke atamtunza mwanaume, Naona sasa hapi ndipo kawivu kalipo kuingia.
Du.. bado unandoto za kurudi chadema? Katiba ya chadema siunaijua? Ukipeleka kesi mahakamani kuwa ni kitu gani kinafuata? Omba mungu uwepo wa mahakama za ccm, vinginevyo kwasasa ungekuwa ni raia wa kawaida tu.
Sioni dhambi kwa waliyoanzisha mjadala wa kutokununua kazi zao, Hata huko India ilikuwa hivyo kipindi walichokuwa wanataka uhuru wao.
kwa hapa Tanzania adui wa maendeleo wa Taifa hili ni ccm, na kama wewe ni mwanachama waccm ni lazima uwe adui kwa wataka mabadiliko na kama njia sahihi ni...
Ni heri umewaeleza vizuri hawo magamba wenzako, ccm inashindwa na chadema kwa mbinu kwakuwa waliyopo ccm wapo kwaajili ya matumbo yao nasiyo kuisaidia ccm. Endelea kuwaamsha huenda wakaamka ila aidhani kama mfu anaweza kuwa hai.
Tulia wewe kubwa jinga ungesikia hutuba ya kamanda kilewo ungejiona m.c.h.u.m.b.a sana kuongea upuuzi hapa... kubwa.. j.i.n.g.a kama wewe.. hongera Kilewo wewe ni level zingine...
Kiukweli nilikuwa sijui uwezo wa kamanda kilewo wa kujenga hoja nilikuwa mshabiki tu... ila leo nemkubali dogo anaonge kwa mamlaka na anajua kujenga hoja sijawahi ona na hoja hizo zilikuwa zinajengwa na akina steve biko,martin luther nk.. na amewatimia watu hawo kwenye mkutano wake, hongera sana...
Mgombea wa chadema 2010... anasema amewachukulia hatua viongozi kadhaa wa serikali akiwamo mkt wa mtaa gongo la ndege na mtendaji kwa kuuza maeneo yawazi .. na tayari mtendaji wa kata amekwisha ondolewa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.