Recent content by mwack

  1. mwack

    Wafanyakazi waliosambaza Video ya Dr. Slaa akiingia chumbani Serena Hotel wafukuzwa kazi

    Hii ni kwa maslahi ya nchi yao kusema ilivyokuwa na hawa ndio wazalendo wa ukweli... Kuna sir I za kuficha ila sio hii ya kutudanganya wananchi tuelewe uongo..mungu ana makusudi kwa nchi hii na naamin tutajua mengi zaidi ya hili kwan Tz hii siyo ya kizaman we need development na c vinginevyo...
  2. mwack

    Fisadi kaondoka, CCM kwanini kila kona mnakamatwa na TAKUKURU kwa kujihusisha na rushwa?

    El ni jembe kwan aliweka wazi kuhusu ....mond na muelewa kaelewa ccm walimsema sana ni fisadi mbona hilo hawalizungumzii? Laana zinawageukia waropokaji wanakamatwa na kuhojiwa na TAKUKURU... Cjui tuwaiteje hawa.. Wanaudhi hawa...
  3. mwack

    Kilichosababisha Zitto Kabwe kufukuzwa CHADEMA na tahadhari kwa watanzania wapinga Ufisadi

    Ukiwa msaliti ndani ya chama ni kufukuza tu hakuna namna nyingine.. Kwani mjue chadema so ccm was kuwabeba wavunja taratibu ndani ya chama..achana na m4c bhana..
  4. mwack

    Wataalamu, nisaidieni tathmini ya hii nyumba (gharama)

    Ramani hyo.. Buuureeeee....!!!!:D:D:D. Mjenge..
  5. mwack

    Kutoka Bahari Beach Hotel: Yaliyojiri katika Mapokezi ya Edward Lowassa kujiunga CHADEMA

    Lowasa in da house!!!! Peoplezzzzzz....
  6. mwack

    Lowasa ukawa live..

    Naona kila siku wanasogeza siku.. Siasa kazi kwelkwel
  7. mwack

    Natafuta hivi vitu tafadhali..

    Vifaa vya stationari; *Computer mbili zenye uwezo mkubwa *Photocopy mashine moja *photo printer 1 *safari moderm 1 *heavy duty stapler 1 Kama kuna sehem vpo nijulishe model na bei inbox.. Niko SIMIYU ila iwe mwanza Caz Dar najua how to get them..
  8. mwack

    Lowasa ukawa live..

    Sio kupoteza mda... Humu ndio pa kujulia habari.. Kama status inakuboa ipotezee sio lazima kukoment... Wengne hatuna vyama Caz chama hakitanipa chakula kamwe.. We mid to know what's going on
  9. mwack

    Lowasa ukawa live..

    Lowasa SAA ngapi anajitambuliaha ukawa? Kwani walisema Leo ndio penyewe au maneno tu wana jf?
  10. mwack

    Obama makes first trip to Kenya as President (July 2015)

    Twataka ya lowasa kwnda ukawa SAA ngp
  11. mwack

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Niko SIMIYU wilaya ya BARIADI IDARA ya msingi,uko tanga,arusha au dar wilaya yoyote tubadilishane? 0757279199
  12. mwack

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Niko ITILIMA mkoa wa SIMIYU natafuta mwl idara ya MSINGI wa kubadilishana naye wilaya yoyote toka mkoa wa ARUSHA au MANYARA. Mawasiliano 0763 264240
  13. mwack

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo SIMIYU kaka,uko tayari?
Back
Top Bottom