Recent content by Mwaba72

  1. M

    Wazee wa Dar: Tulitaka kumuuliza Rais

    Swali langu ni kwa nini ukubali pesa yenye mgogoro upande mmoja ukijua kuwa hawa watu hawajakubaliana yaani Iptl na TANESCO. Lingine nani alishauri kuanzishwa escrow a/c kwa maelezo ya rais baraza lake la mawaziri walikuwa wanajua kuhusu jambo hili
  2. M

    Prof Tibaijuka: Nikijiuzulu hata Rais atanishangaa

    Tibaijuka maneno yake yamemponza awa kafara.swala la Escrow ni mtandao na wizi wa kimaandishi.ununue umeme tena ulipe na gharama za kuifanya kampuni inayokuuzia kwa lugha ya gharama za uekezaji.
  3. M

    Matokeo ya uchaguzi Rombo

    Vingunguti Mtaa wa miembeni mgombea wa uenyekiti kupitia Cuf ameshinda pamoja na njama ya ccm kununua wapiga kura kwa sh 5000
  4. M

    Nape apongeza upinzani

    Hii asilimia 14 anaiptata kutokana na takwimu za vijijini.mfano Arusha chadema kutoka mitaa 7 mpaka 75. Hii ni sawa na ushindi. Kuna Mbeya pia Mwanza. Ukumbuke idadi ya wapiga kura kwa mtaa vijijini ni tofauti na mjini. Sasa tunaenda kwenye uchaguzuzi mkuu ambapo vijana wote ambao toka 2010...
  5. M

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Kuna gazeti limeandika kuwa Cuf mtwara imepata ushindi wa asilimia 80 Na Waziri Hawa Ghasia amekanusha kupitia Azam two katika morning trumpet
  6. M

    CCM wanajutia Escrow sasa wamesema lazima wawatimue wahusika!

    Hata ukiwa msafi namna gani mfumo wa ccm ni kama tope ukitumbukia utafuka tu. Hivyo dawa ni kukiondoa madarakani ili kijirekebishe.unakuta mtu alikuwa safi akiingizwa tu kwenye mfumo wao anafuka. Na wawe tayari maana toka 2010 mpaka 2015 kuna vijana ambao wametimiza umri wa kupiga kura ambao...
  7. M

    Mtaani kwangu CCM imedondokea "li-pua" kwako je?

    Vipi mbeya mjini tupeni matokeo
  8. M

    Kali ya funga mwaka uchaguzi mdogo

    Da hali Mbaya kwa watawala
  9. M

    Rombo kiboko ya CCM/ pesa mbili Mramba

    Majengo yote ya ccm ni watanzania wote.
Back
Top Bottom