2Kimo umeandika kuonyesha mtazamo wako kuhusu mwenendo wa CHADEMA kwa ulinganifu wa watu wenye au waliokuwa na dhamana za kiuongozi na kuonyesha ni kwa namna gani CHADEMA itaendelea kutokubalika kwa Watanzania. Nafikiri umesahau kutumia takwimu za kisiasa au matokeo ya jitihada ambazo ndicho...
Zito unayemzungumzia aliwahi kutamka kumkaribisha Lowasa kwamanhiyo alishaonesha nia ya kumuhitaji Lowasandani ya chama chake pengine hata kabla CDM hawajafanya hivyo
Hebu punguza munkari, tueleze kwa nini umefikia uamuzi wa kumuita mzigo? Kwa vyovyote atakuwa amefanya au anaendelea kufanya mambo yasiyofaa, sasa tueleze ili tujue ubaya wake ili tusaidie japo mawazo ya nini kifanyike.
Nimezipata hizo nyepesi nyepesi, hapo mjini songea unaonekena sio uwanja salama tena kwake kwani vipindi vyote ameshinda kwa nguvu nyingi sana. ameamua kurudi kwao japokuwa mimi sio muumini wa ukabila, ukanda au udini. Nasikia hapo anajipanga Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro huku lile jimbo la mbiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.