CCM tutakuja kulia machozi ya simba

CCM tutakuja kulia machozi ya simba

sina haja kumshambulia raia mwenzangu kwakuwa tunatofautiana kimtazamo...kushambuliana kwa kejeli,matusi,lugha za kudhalilishana na yanayofanana na hayo.Sio poa kabisa.Utanitukana leo kwa kile ninachoamin kwakuwa huamini, unaweza kushnda leo alafu unachoamin kikatufaa au kutuumiza wote.Soma mada,huna unachoona kinamaana peleka muda kwenye mada nyngne zenye mashko mambo yaende.Watoa mada watajifunza kutoandka yasiyo na mashko humu jf.ukiweka mtazamo kwenye jambo la kizush utamfanya mtoa mada aone nae anajua
 
Chochote kilichozaliwa hufa! Kinachodumu milele ni kile ambacho hakikuzaliwa. Kuna siku ambayo CCM itakufa kwa kuwa ilizaliwa tarehe 5/2/1977! Kifo chake huenda sasa nirasmi kuwa kitakuwa 25/10/ mwaka huu!
 
Wana CCM wenzangu,

Ni muda sasa Nimekuwa naona Kauli za kuwabeza wapinzani..Lakini hawa watu kila siku wanazidi kuungwa Mkono..

Pia Wapinzani mwaka huu wamefanukiwa kuhamasisha wananchi kujiandikisha sana kupiga kura wakati sisi tuko busy na kushabikia Sinema ya kutangaza nia.

Nawaomba Tuungane kufanya kazi kwa pamoja la siyo mwaka huu tutapata kipigo cha mbwa mwizi kwenye Uchaguzi Mkuu..

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Yadumu mawazo ya Mkuu Wa Chama..
Ahsanteni
''Acheni wapigwe tu'' By Mizengo Pinda
 
Wana CCM wenzangu,

Ni muda sasa Nimekuwa naona Kauli za kuwabeza wapinzani..Lakini hawa watu kila siku wanazidi kuungwa Mkono..

Pia Wapinzani mwaka huu wamefanukiwa kuhamasisha wananchi kujiandikisha sana kupiga kura wakati sisi tuko busy na kushabikia Sinema ya kutangaza nia.

Nawaomba Tuungane kufanya kazi kwa pamoja la siyo mwaka huu tutapata kipigo cha mbwa mwizi kwenye Uchaguzi Mkuu..

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Yadumu mawazo ya Mkuu Wa Chama..
Ahsanteni

Hivi wewe unafikiri mkuu wa chama chako anamawazo gani katika hii nchi ikiwa haujui umaskini wa Tanzania?
 
Walioanguka uteuzi ccm na kuhama watimize malengo yao kisiasa kuwaita 'makapi'ni tusi hata kwa walianguka na kubaki ccm
 
Watalia? watatosha sasa... itabidi waajiri watu wakuwasaidia kulia kwani watalia sana....
 
Ni kipigo cha mbwa mwizi tu hamna huruma tena.
MPAKA TUJUE NI NANI WALIGAWANA ESCRWO VIA STANBIC.....
 
Edward Lowassa si wa kumbeza hata kidogo,JK atakuja kushangaa ya MUSSA.
 
Wana CCM wenzangu,

Ni muda sasa Nimekuwa naona Kauli za kuwabeza wapinzani..Lakini hawa watu kila siku wanazidi kuungwa Mkono..

Pia Wapinzani mwaka huu wamefanukiwa kuhamasisha wananchi kujiandikisha sana kupiga kura wakati sisi tuko busy na kushabikia Sinema ya kutangaza nia.

Nawaomba Tuungane kufanya kazi kwa pamoja la siyo mwaka huu tutapata kipigo cha mbwa mwizi kwenye Uchaguzi Mkuu..

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD="align: right"][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Walitaka kuongeza mtaji kwa ajili ya kampeni kwa fedha za pembe ndiyo zimekanatwa maana inaonekana watendaji airport wapo kwenye kampeni kila kitu kipindi hiki kitapita tu
 
Wana CCM wenzangu,

Ni muda sasa Nimekuwa naona Kauli za kuwabeza wapinzani..Lakini hawa watu kila siku wanazidi kuungwa Mkono..

Pia Wapinzani mwaka huu wamefanukiwa kuhamasisha wananchi kujiandikisha sana kupiga kura wakati sisi tuko busy na kushabikia Sinema ya kutangaza nia.

Nawaomba Tuungane kufanya kazi kwa pamoja la siyo mwaka huu tutapata kipigo cha mbwa mwizi kwenye Uchaguzi Mkuu..

Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
Yadumu mawazo ya Mkuu Wa Chama..
Ahsanteni

Na mwenye masikio na asikie na Magamba wote mjiandae kisaikolojia kuwa wapinzani kuanzia jioni ya tarehe 25.10.2015
 
Back
Top Bottom