Recent content by mvukiyefrancis

  1. M

    JamiiForums Tanzania Pata ushauri, michango na mawazo ya ufugaji wa bata wa kienyeji kibiashara

    Mimi niko ileje mbeya. Natafuta bata weupe.. naweza pata wapi
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ufugaji na kilimo unalipa sana

    Aise umenifurahisha sn, mimi niko Ileje,lakini bado sijaanza kilimo. Kwa ss nimefuga nguruwee km 25 tu na nn shamba la karanga eka 1 tu. Mungu akinijalia nataka mwakani nianze vizuri. Naomba nikutumie kwa ushauri
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ufugaji na kilimo unalipa sana

  4. M

    JamiiForums Tanzania Kitomar2 ni jambaz kanitapeli

    Kuna wengine amabao nadhani hii page si yao, wanavamia bila kujua.Mambo ya ccm na ujasiliamali wapi na wapi. Hasira za kushindwa maish zisipitie huku.Tafuta forum inayokufaa ndugu yangu
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kitomar2 ni jambaz kanitapeli

    huyo atapatikana tu. Jali ushauri
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kitomar2 ni jambaz kanitapeli

    KITOMALI kama jina lilivyo ni tapeli. Asituharibie mtandao wetu.Wengine nikiwawamo na mie tumebhatika kupitia jf ujasiliamali.:evil:
  7. M

    JamiiForums Tanzania Jogoo wakubwa wa malawi wanauzwa.

    Nina jogoo wakubwa wa Malawi, weusi wanauzwa. kila mmoja ni sh. 15,000/= tu. Kwa anayehitaji tuwasiliane. Niko ILEJE, MBEYA- Tanzania.:A S 103:
  8. M

    JamiiForums Tanzania Jogoo wakubwa wa malawi wanauzwa.

    Poleni na kazi za kila siku wana JF. Mimi nina jogoo wa Malawi (mkolongo) weusi wanauzwa. Ni wakubwa na wazuri kwa mbegu. Niko ILEJE, kwa atakaye hitaji basi tuwasiliane. Ni wazuri kwa ajili ya mbegu na nimewafuga kienyeji. Ni sh. 15,000/= kwa jogoo mmoja. 0752- 345066 (...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Re: Nahitaji mayai kwa ajili ya kutotolesha

    Wadau wa JF, mimi nina mashine ya kutotolesha vifaranga. Tatizo ni jinsi ya kupata mayai. Naomba mnisaidie wapi nipate mayai yaliyolelewa kwa ajili ya kutotoleshwa. Niko Mbeya , ILEJE.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    :smile-big:Yap, ufugaji wa kuku ni mzuri na unafaida sana hasa ukizingatia jinsi inavyotakiwa. Mimi sina uzoefu sana na kuku wa kisasa hususan wale wa nyama. Mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji hasa wale weusi wa Malawi ambao kwa huku kwetu Ileje, tunawaita MKOLONGO. Kwa ushauri wangu, ni...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    POLITICS NA MAPENZI FORUMS hakuna kitu kule zaidi ya upuuzi tu. Nimefurahi sana hadi mke wangu na watoto wanapenda hii forum yetu, na kabla hawajaingia bandani lazima wakamue nn wana JF wameshauri. Na tunapokuwa sitting room tukisubili mlo wa jioni , tuna discuss yaliyojili kwa siku nzima, ikiwa...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    POLITICS NA MAPENZI FORUMS hakuna kitu kule zaidi ya upuuzi tu. Nimefurahi sana hadi mke wangu na watoto wanapenda hii forum yetu, na kabla hawajaingia bandani lazima wakamue nn wana JF wameshauri. Na tunapokuwa sitting room tukisubili mlo wa jioni , tuna discuss yaliyojili kwa siku nzima, ikiwa...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    WANA JF UJASIRIAMALI - BIG UP SANA. Kwa kufuatilia kwa makini shauri hizi, infact nimeweza atleast kujikongoja na nina imani lengo langu la kufiksha kuku wa kienyeji 2000 kwa kutumia huu azlishaji wa kiasili nitaweza. nilianza na kuku 31 wale wa Malawi, na hivi sasa ninao 604. Ni weusi tiii...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Kuku wangu wamepunguza kutaga

    PIA NAPENDA KUMSHUKURU MAMA JAMES WA EXTERNAL UBUNGO KWA USHAURI WAKE KUPITIA SIMU YA MKONONI. Mama Asante sana umenipa mwanga mkubwa. Mungu akubariki katika biashara zako, AMEN
  15. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Kuku wangu wamepunguza kutaga

    NDUGU YANGU, NASHUKURU KWA USHAAURI MZURI, NITAZINGATIA NA NITATOA FEEDBACK KWA WANA JF. Asante sana.
Back
Top Bottom