Yani kila uli
Nilikua najiona kama nabii mwenye kupewa maono, kujitenga, kuwa mtu wa dini sana, kukataa madem, kurizika na maisha na mngn mengi alhamdulillah saiv nimeacha na staman kurudi tena kwenye weed japo ilikua ikinipa condidence ata ya kuongea na rais
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.