Recent content by mvita

  1. M

    Ujasiriamali: Uza luku, vocha za modem, airtime na startimes kwa NOKIA C2 ya TShs. 145,000 tu.

    habari wa jf mm nahitaji hiyo simu nokia nikozanzibar nitapataje
  2. M

    UKUWA wafuate ushauri huu ili kupata katiba ya wananchi

    haileti maana hata kidogo mke umemuowa na umemtumia kwa miaka 50 ,umechoka nae ndo umuulize cheti cha ndoa na umwambie uhalali wa ndowa uko wapi ?si unafiki huo jamani?
  3. M

    Tamko kutoka TBC: Mvua iliathiri mitambo wakati wa hotuba ya Lissu

    jamani tuacheni unafiki usio tija na kupalilia chuki zisizo na msingi,kwani hata akionekana kwenye luninga huyo lissu ndo atazuwia usije muundo waserikali 2,serekali 2 wenyewe ni watanzania na sio vyama vya siasa .mbili zatosha tatu za nini?
  4. M

    Nataka kufanya biashara ya dagaa wa Zanzibar

    Mimi niliko ndio kiwandani ukihitaji kwa jumla nione mimi niko Kizimkazi Zanzibar.
  5. M

    Kilimo cha mbogamboga

    Zanzibar kijijicha kizimkazi, huku hata ukijenga huchimbi msingi unaeka mawe vizuri tu unaendelea kujenda ni miamba mitupu.
  6. M

    Jenga Greenhouse kwa gharama nafuu

    asante mamana ,ila tu tatizo langu niko (kizimkazi zanzibar)na ardhi yangu ni mawe ila huwa na mwaga udongo kwanza jee green house itafaa?naje itawezekana kutest udongo ninaoutumia ,naje hizo nguzo kwetu ni rahisi mno kupatikana na tank pia ninalo la lita 100,lakini naweza kusaiwa project ya...
  7. M

    Kilimo cha mbogamboga

    Kwakweli mimi nilijuwa hizo beds sana zinatengenezwa nchi za maulaya kumbe hatakwetu inawezekana ,nasema asante ameline kwa kunifumbua akili, nitaandaa na ninaimani nitafanikiwa na nitakukaribishenizanzibar (kazimkazi) kuja nitembelea.
  8. M

    Kilimo cha mbogamboga

    Asante ila unaweza kunisaidia makisio ya kutengeneza miundo mbinu hiyo?
  9. M

    Mafunzo ya kilimo cha kisasa cha greenhouse

    Nimepata shauku kubwa sana ya kilimo cha mboga mboga ,hasa cha green house ,nawaombeni makisio yote ya kujenga greenhouse ni kiasi gani
  10. M

    Kilimo cha mbogamboga

    Nahitaji kufanya kilimo cha mbogamboga na ardhi ya kwetu ni mawe ila natarajia kueka udongo juu. Naombeni ushauri, itawezekana?
  11. M

    Lifahamu kiundani zao la Nyanya chungu (Ngogwe) na jinsi ya kulilima

    Namimi napendahicho kilimo cha nyanya je nina 2heka itafaa kwa kilimo hicho tu
Back
Top Bottom