Magnificient
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,177
- 734
Habari zenu wana harakati!
Nimevutiwa na biashara ya dagaa wakavu kutoka Zanzibar, sasa ndo naandaa plan ya biashara hiyo. Nataka ifanyia hapa Dar, maeneo ya masoko ya Kariakoo, Ilala, Temeke, Mbagala n.k.
Naomba kwa mtu mwenye mawazo ya biashara hii anisaidie ili nipate business plan ya uhakika juu ya mtaji, soko, maeneo ya kupata bidhaa zanzibar, gharama zake na ikiwezekana hata wadau walio katika biashara hii nishirikiane nao.
Natanguliza shukrani!
Nimevutiwa na biashara ya dagaa wakavu kutoka Zanzibar, sasa ndo naandaa plan ya biashara hiyo. Nataka ifanyia hapa Dar, maeneo ya masoko ya Kariakoo, Ilala, Temeke, Mbagala n.k.
Naomba kwa mtu mwenye mawazo ya biashara hii anisaidie ili nipate business plan ya uhakika juu ya mtaji, soko, maeneo ya kupata bidhaa zanzibar, gharama zake na ikiwezekana hata wadau walio katika biashara hii nishirikiane nao.
Natanguliza shukrani!