Recent content by mva

  1. M

    Waziri Kagasheki ajiuzulu; David Mathayo, Nchimbi na Nahodha watimuliwa na Rais Kikwete!

    NI MUDA MREFU UMEPITA TANGU SERIKALI YA TANZANIA KWA USIMAMIZI WA NCHIMBI IKIFANYA MAMBO YALIYO KINYUME NA HAKI ZA BINADAMU WATANZANIA WENGI WAMELIA SANA JUU YA HUJUMA HIZO LAKINI KAULI YA SERIKALI KUPITIA KWA WAZIRI NCHIMBI IMEKUWA YA KUKATISHA WANANCHI TAMAA LAKINI WANANCHI HAWAKUKATA TAMAA...
  2. M

    Nampongeza Mbowe kwa kuwa na wafuasi watiifu wasiosikia wala kuona madhambi yake

    cris nawashangaa sana kiona makosa ya mbowe lakini yeni hamuyaoni nisaidie majibu kwa mambo haya 1. jk ana uhusiano gani na ray c 2. mwigulu alifumaniwa akifanya nini kule igunga? 3. kapuya amemfanyaje yule bint yatima? Ukishajibu hayo niambie nini chaajabu alichofanya mbowe hata...
  3. M

    Dr. Slaa: Daftari la wapiga kura liboreshwe kabla ya kura ya maoni!

    kama watashindwa kuboresha hilo daftari basi waruhusu mtu yeyote mwenye umri wa miaka 18 apige kura bila kujali amejiandikisha au la
  4. M

    Dk. Slaa alipua ufisadi mkubwa; ataka Ofisi ya Bunge ichunguzwe haraka

    hamuwezi kuichonganisha chadema na wananchi kwa maswala ya mipasho ya mwigulu.
  5. M

    Toa sababu za kwanini mbunge wako unataka aendelee au ang'oke mwaka 2015

    mbunge wangu sitaki hata kusikia jina lake maana tangu tumchgue amekuwa na kazi ya kuitetea serikali tu hajawahi hata siku moja kututetea sisi tuliomchagua. Halifu mbaya zaidi hata akitokea mbunge mwingine akatutetea yeye husimama na kuomba mwongozo na kuomba hoja ya mtetezi huyo iondolewe huwa...
  6. M

    Mwigamba: Baada ya Zitto ni Dr. Slaa

    unasikitisha sana yaani unataka kugeuza mkakati wenu wa ma mm m1 m2 m3 kuwa ni mkakati wa cdm?nahisi umeanza kuchanganyikiwa waombe mm wenzako wakusaidie ile milioni mbili uendelee kuzungusha hadi mtakapoanzasha chama chenu.
  7. M

    Zitto kuunguruma Kigoma kuanzia Disemba 21

    naunga mkono hoja :lock1:
  8. M

    Zitto kuunguruma Kigoma kuanzia Disemba 21

    hata mimi naamini ni kila raheli lakini sio kila :lock1:laheri
  9. M

    Mwigulu amlipua Mbowe bungeni, ni kuhusu kutumia vibaya madaraka yake na hawara

    Nimesikitishwa na kauli zinazozungumzwa hapa jf kuwa mbowe ni kiongizi asie na maadili eti kwasababu anaisaliti ndoa yake. Hivi ni mbowe tu anaesaliti ndoa yake? Kwa ufahamu wangu nakumbuka mwigulu alifumaniwa kule iginga akiwa na mke wa mtu je yeye hakuwa na ndoa? Tuangalie swala la kapuya na...
  10. M

    Hivi ni kweli serikali ya CCM haiwajali wananchi wake??

    kweli kabisa nadhani hilo ndilo serikali inalisubiri. Serikali isiyoons matatizo ya nchi sijui wanaongoza nini
  11. M

    Hivi ni kweli serikali ya CCM haiwajali wananchi wake??

    nakusikitikia kwasababu ushabiki umekuathiri,kwahiyo swala la watu kupoteza maisha pale soweto wewe umelifananisha na mtu kwenda chooni?mungu akusamehe hujitambui
  12. M

    Hivi ni kweli serikali ya CCM haiwajali wananchi wake??

    Nasikitishwa na kauli iliyotolewa na nchimbi kuwa hakuna tume huru itakayoundwa kuchunguza mlipuko wa bomu la soweto arusha . Kauli hii ilinifanya niamini kuwa kunakitu serikali inakijua kuhusiana na mlipuko ule .ukusikia nchi za wenzetu wanavyopambana kulinda raiya wake utafadhaika sana na...
Back
Top Bottom